Babuuuuu....!!
Khaaa....!!!! Ndo umemuachia kijiti sukari ya warembo afanye ukaguzi....!!!
Ngoja nitoe siri ya shuga
Watu8 , ila nakunong’oneza pekeyako wengine wasisikie....!
Bwana Sukari huyu ni zaidi ya sukari guru, warembo humu wamenuniana na kupigana vikumbo kutaka kuramba sukari.....
Nami nikashikwa na utomaso kutaka kuonja sukari....!
Kumbe bana ukiwa unabwia bange sukari haipandi....😅😅😅😅!!!!
Unajua ni sawa na nini....!!!
Uwe umepiga zako Vant au bia na ushaanza kulipia tozo maliwato bila shuruti halafu mc aka mshereheshaji akuite mbele ya ukumbi uje kula keki....!!!
Hiyo picha niliyoijenga hapo ni lugha ya picha....!
Usifanye masihara, Mahaba ni mziki mnenee....!!🤪🤪🤪🤪
Babu
Asprin na swahiba wako
Watu8 ....
Kasie hapa alipo amepuliza msuba na yuko high au peak....!
Pakikucha au akiamka mtamuelewesha alikuwa anaandika nini na alimaanisha nini....!!
Msipomuelewesha anawanunia mazimaaaaa na msipojali ataliaaaaaaaaa......!!!!!!
Hili sitanii niko siriasi...😜
Alamsiki bin Alnuru Mahaba.