Mwanaume kupiga bao nyingi kwa tendo moja nayo ni dhana potofu

Mwanaume kupiga bao nyingi kwa tendo moja nayo ni dhana potofu

Endelea kufikiri hivyo... Hakuna heshima yenye maana kama heshima ya mkeo kitandani...

Na hakuna dharau mbaya kama dharau ya kitandani...
Yaah ukiwa huna kitu cha maana kwenye maisha yako zaidi ya mwanamke uliyenaye, mnakula hadi pussy ili mke asichepuke [emoji3]
 
Babuuuuu....!!

Khaaa....!!!! Ndo umemuachia kijiti sukari ya warembo afanye ukaguzi....!!!

Ngoja nitoe siri ya shuga Watu8 , ila nakunong’oneza pekeyako wengine wasisikie....!

Bwana Sukari huyu ni zaidi ya sukari guru, warembo humu wamenuniana na kupigana vikumbo kutaka kuramba sukari.....

Nami nikashikwa na utomaso kutaka kuonja sukari....!

Kumbe bana ukiwa unabwia bange sukari haipandi....😅😅😅😅!!!!

Unajua ni sawa na nini....!!!

Uwe umepiga zako Vant au bia na ushaanza kulipia tozo maliwato bila shuruti halafu mc aka mshereheshaji akuite mbele ya ukumbi uje kula keki....!!!

Hiyo picha niliyoijenga hapo ni lugha ya picha....!

Usifanye masihara, Mahaba ni mziki mnenee....!!🤪🤪🤪🤪

Babu Asprin na swahiba wako Watu8 ....

Kasie hapa alipo amepuliza msuba na yuko high au peak....!

Pakikucha au akiamka mtamuelewesha alikuwa anaandika nini na alimaanisha nini....!!

Msipomuelewesha anawanunia mazimaaaaa na msipojali ataliaaaaaaaaa......!!!!!!
Hili sitanii niko siriasi...😜

Alamsiki bin Alnuru Mahaba.
Najuta kwanini sikusoma HKL nikaamua kwenda VETA.

Hii novel ntaipeleka kwa Shigongo aichapishe ukurasa wa kwanza kwenye gazeti lake la uwazi

Afu mpwa wangu Watu8 atanipa siri ya utamu wa sukari. Asali kumbe inasifiwa bure tu....

Naenda dukani kununua sukari
 
Hainihusu. Kila MTU ashinde match zake.
Lodge nilipie, chakula nikulishe pesa nikupe kisha nipambane ufike mawenzi hapana hapana.
Napiga goli zangu zakutosha wewe utajua mwenyewe
Ukweli ndio huo
 
Bao sita kisa nini???sina muda wa kijinga huo..bao nne tuu anaenda kwa baba ake!!cha kufia nn?
 
Mwanamke akipata bao moja tu linamtosha,mwanaume jipigie kwa jinsi unavyohitaji
 
Daah aisee bora umewachana hawa mabarobaro wala chips, mi huwa nnawauliza wanaume wenzangu, inakuaje mpaka mwanaume ukojoe mara 6? We ni mwehuuuu. Yaan hakuna raha kama kumpiga mwanamke wako mibao hata 6 alaf we ukajipigia zako 2 ukalala. Sasa utakuta mwanaume anajisifu nimepiga bao sita, unashangaa huyu mwanaume mwenzetuuuu au nae anapigishwa bao?
 
haya mambo huwa tunahangaika nayo sisi makapuku tu huwezi kukuta taita anahangaika na kumkojoza mwanamke

yeye akifika kazi yake kulala chali tu mwanamke atapanda juu atajitombesha hapo taita akishakojoa basi yeye anageuka analala wewe dem kama hujakojoa utajua mwenyewe au sanasana atapiga doggy tako tano anakojoa analala
We tomba mkeo achaga blahblah weweee na visingizio kibao. Siku wanakutombea ndio utajua hujui
 
Wapo mkuu..mbona kawaida sana kuna watu wana akili za ajabu sana,ila inawezekana sana tu
Niletee iyo mutu
Daah aisee bora umewachana hawa mabarobaro wala chips, mi huwa nnawauliza wanaume wenzangu, inakuaje mpaka mwanaume ukojoe mara 6? We ni mwehuuuu. Yaan hakuna raha kama kumpiga mwanamke wako mibao hata 6 alaf we ukajipigia zako 2 ukalala. Sasa utakuta mwanaume anajisifu nimepiga bao sita, unashangaa huyu mwanaume mwenzetuuuu au nae anapigishwa bao?
Srarehe ya maskin ngon ,Bao sita ,kazin anatumia akili gani😅😅
 
Back
Top Bottom