makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Swadakta kakaEndelea kufikiri hivyo... Hakuna heshima yenye maana kama heshima ya mkeo kitandani...
Na hakuna dharau mbaya kama dharau ya kitandani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swadakta kakaEndelea kufikiri hivyo... Hakuna heshima yenye maana kama heshima ya mkeo kitandani...
Na hakuna dharau mbaya kama dharau ya kitandani...
Huu nao ni ujinga. Hapa ni bao moja tu tena la sekunde 30 kisha naoga nasepa kwenda kutafuta pesa.Hii ni dhana potofu na ni tatizo.
Yaani mwanaume unaenda bao 3, 4 au 6 halafu mkeo ana bao 1 tu au hajapata kabisa, hilo ni tatizo rafiki zangu. Mwanaume mwenye nguvu (rijali) hasifiki kwa idadi ya bao anazopiga yeye, abadani, anasifika kwa muda anaotumia kutoka bao moja kwenda jingine, hiyo ni moja.
Mbili, mwanaume rijali hasifiki kwa idadi ya bao anazozipiga yeye, ila atasifika kwa idadi ya mabao anayompigisha mwanamke (anamfikisha mwanamke kileleni mara ngapi).
Alafu urijali wa mwanaume ni ahakikishe bao lake linaenda sambamba na bao la mkewe, hakuna utamu unaofikia pale mabao yanapokutana.
Sasa wewe unapiga mabao 4 ya dakika kumi kumi halafu unatoka unajisifia nimepiga bao 4, ni aibu usiongee hivyo mbele za watu. Ni tatizo hilo, tafuta tiba.
Jitahidi kwenye tendo matokeo yawe hivi:
Mume 1 - Mke 1
Mume 2 - Mke 2 (yaani 'draw' ya idadi yoyote ya mabao)
Au
Mume 0 - Mke 2
Mume 1 - Mke 3
Toka kwenye tendo mmetoka 'draw' ya mabao ya kufungana au wewe umefungwa na mkeo.
Sio unatoka;
Mume 4 - Mke 1 (halafu unakuja unatamba mtaani).
Taita yeye hana mbwembwe za kuzama chumvini wala nini ,yeye ni kuvua chomeka kojoa tembea 🤣Niko hapa taita😅
hapana, mie ndiye nimelipa pesaanamfikisha mwanamke kileleni mara ngapi)
Kwa sababu hata hao wanawake mnaokutana nao wameshawazoea ninyi mnaoenda bao la kwanza chini ya dakiki 5 chali...ila akikutana na mtu bao la kwanza saa 1 au dakika 45 na style zote mmemaliza... Hutasikia anataka bao jingine... Tena anahamia kulala sebuleni hataki tena nyongeza...ukiona hivi mleta mada ndo wale wa kimoko chali mleta mada nguvu zako za gobole ukipiga kimoja mpka ujikoki. Tuache sie wenye nguvu zetu za ak47 tunamimina uji mpka basiiiiii. madem wenyewe hawapendi mtu anepiga kimoko chali na kumkojoza mwanamke inategemea umemuandaaje na yy anahisia gani juu yako
Sawa... Allaah aniepushe na uzinifu... Ingekuwa inaruhusiwa kujaribu...mwambie mke aje alafu ataanza kukurekebisha mengi...jambo kama hamliwezi mnajua namna nyingi za kuliponda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SIZUNGUMZII MAKAHABA HAPA.. NAZUNGUMZIA MKE WA NDOA...hapana, mie ndiye nimelipa pesa
ni jukumu lake mimi ME nifike kileleni
mke ulipata bure ? mahari ni pesa piaNAZUNGUMZIA MKE WA NDOA.
Naqubali mzeeHili suala limekua likipotoshwa kwa masilahi ya kibiashara na wanaume wamekua walengwa kwa sababu ndio wenye nguvu ya pesa na ile ego mbele ya mwanamke na ndio hapo watu wanaanza kuangaika kutafuta tiba ya matatizo ambayo hawana na kuangukia uko kwenye vumbi la kongo, viagra, juisi ya tende n.k.. ukweli ni kwamba mwanaume kuwahi kufika ilo sio tatizo isipokua haoni sababu au hajui namna ya kujizuia ili aende mwendo mrefu zaidi., kwa kiafya mwanaume anapizi kuanzia dakika 1-5 mwanume ataesabika ana upungufu wa nguvu za kiume endapo asimamishi kabisa au anasimamisha kwa ulegevu, mashine inalala kabla hajamwaga, ansshindwa kurudia tendo mara ya pili(kwa kawaida mwanaume atahitaji dakika 30-40 kurudi mchezoni baada ya kumwaga) endapo mwanaume akitaka kwenda mwendo mrefu kuna mazoezi ya kufanya, vyakula vya kula na namna ya kuji-control kisaikolijia wakati wa tendo kwa upande wa pili mwanamke anaechelewa kufika kileleni uyo ndio mwenye tatizo wapo wanawake wengi tu ndani ya dakika 5 washafika kinachotokea ni mwanaume kujichelewesha ili aweze kufika pamoja na mwanzake iyo wala sio sheria au lazima ni hiyari tu ya mwanaume kwaiyo wanawake mnaochelewa kufika acheni kurushia lawama vijana wa watu kwa uzembe au matatizo yenu., manjiingiza dildo, chupa, ndizi, matango, mnakula chipsi mayai, pizza, mnakunywa vidonge vya kuzuia mimba ambavyo vinaenda kualibu afya yenu ya uzazi mnajialibu wenyewe alafu msipofika kileleni lawama apewe mwanaume..pesa akupe, nauli akupe, gesti na gharama zote alipe bado tena asipokufikisha kwa maradhi yako mwenyewe apewe lawama.. wanawake acheni ubinafsi.
Hyo inaitwa illusion of truth effect ni kama tatizo la nguvu za kiume linavyokuzwa kwa maslahi ya wachache tu lakini ukiangalia tatizo sio kubwa kihivyoHii ni dhana potofu na ni tatizo.
Yaani mwanaume unaenda bao 3, 4 au 6 halafu mkeo ana bao 1 tu au hajapata kabisa, hilo ni tatizo rafiki zangu. Mwanaume mwenye nguvu (rijali) hasifiki kwa idadi ya bao anazopiga yeye, abadani, anasifika kwa muda anaotumia kutoka bao moja kwenda jingine, hiyo ni moja.
Mbili, mwanaume rijali hasifiki kwa idadi ya bao anazozipiga yeye, ila atasifika kwa idadi ya mabao anayompigisha mwanamke (anamfikisha mwanamke kileleni mara ngapi).
Alafu urijali wa mwanaume ni ahakikishe bao lake linaenda sambamba na bao la mkewe, hakuna utamu unaofikia pale mabao yanapokutana.
Sasa wewe unapiga mabao 4 ya dakika kumi kumi halafu unatoka unajisifia nimepiga bao 4, ni aibu usiongee hivyo mbele za watu. Ni tatizo hilo, tafuta tiba.
Jitahidi kwenye tendo matokeo yawe hivi:
Mume 1 - Mke 1
Mume 2 - Mke 2 (yaani 'draw' ya idadi yoyote ya mabao)
Au
Mume 0 - Mke 2
Mume 1 - Mke 3
Toka kwenye tendo mmetoka 'draw' ya mabao ya kufungana au wewe umefungwa na mkeo.
Sio unatoka;
Mume 4 - Mke 1 (halafu unakuja unatamba mtaani).
Hawahawa wenye stress za madeni ya vicoba?Hii ni dhana potofu na ni tatizo.
Yaani mwanaume unaenda bao 3, 4 au 6 halafu mkeo ana bao 1 tu au hajapata kabisa, hilo ni tatizo rafiki zangu. Mwanaume mwenye nguvu (rijali) hasifiki kwa idadi ya bao anazopiga yeye, abadani, anasifika kwa muda anaotumia kutoka bao moja kwenda jingine, hiyo ni moja.
Mbili, mwanaume rijali hasifiki kwa idadi ya bao anazozipiga yeye, ila atasifika kwa idadi ya mabao anayompigisha mwanamke (anamfikisha mwanamke kileleni mara ngapi).
Alafu urijali wa mwanaume ni ahakikishe bao lake linaenda sambamba na bao la mkewe, hakuna utamu unaofikia pale mabao yanapokutana.
Sasa wewe unapiga mabao 4 ya dakika kumi kumi halafu unatoka unajisifia nimepiga bao 4, ni aibu usiongee hivyo mbele za watu. Ni tatizo hilo, tafuta tiba.
Jitahidi kwenye tendo matokeo yawe hivi:
Mume 1 - Mke 1
Mume 2 - Mke 2 (yaani 'draw' ya idadi yoyote ya mabao)
Au
Mume 0 - Mke 2
Mume 1 - Mke 3
Toka kwenye tendo mmetoka 'draw' ya mabao ya kufungana au wewe umefungwa na mkeo.
Sio unatoka;
Mume 4 - Mke 1 (halafu unakuja unatamba mtaani).
Kasie popote ulipo mama naomba umjibu babu ODM kwa niaba...
Mjibu tu huwa unabwiya vijiko vingapi vya sukari...
Kasie popote ulipo mama naomba umjibu babu ODM kwa niaba...
Mjibu tu huwa unabwiya vijiko vingapi vya sukari...