Mwanaume kupiga bao nyingi kwa tendo moja nayo ni dhana potofu

Endelea kufikiri hivyo... Hakuna heshima yenye maana kama heshima ya mkeo kitandani...

Na hakuna dharau mbaya kama dharau ya kitandani...
Yaah ukiwa huna kitu cha maana kwenye maisha yako zaidi ya mwanamke uliyenaye, mnakula hadi pussy ili mke asichepuke [emoji3]
 
Najuta kwanini sikusoma HKL nikaamua kwenda VETA.

Hii novel ntaipeleka kwa Shigongo aichapishe ukurasa wa kwanza kwenye gazeti lake la uwazi

Afu mpwa wangu Watu8 atanipa siri ya utamu wa sukari. Asali kumbe inasifiwa bure tu....

Naenda dukani kununua sukari
 
Hainihusu. Kila MTU ashinde match zake.
Lodge nilipie, chakula nikulishe pesa nikupe kisha nipambane ufike mawenzi hapana hapana.
Napiga goli zangu zakutosha wewe utajua mwenyewe
Ukweli ndio huo
 
Bao sita kisa nini???sina muda wa kijinga huo..bao nne tuu anaenda kwa baba ake!!cha kufia nn?
 
Mwanamke akipata bao moja tu linamtosha,mwanaume jipigie kwa jinsi unavyohitaji
 
Daah aisee bora umewachana hawa mabarobaro wala chips, mi huwa nnawauliza wanaume wenzangu, inakuaje mpaka mwanaume ukojoe mara 6? We ni mwehuuuu. Yaan hakuna raha kama kumpiga mwanamke wako mibao hata 6 alaf we ukajipigia zako 2 ukalala. Sasa utakuta mwanaume anajisifu nimepiga bao sita, unashangaa huyu mwanaume mwenzetuuuu au nae anapigishwa bao?
 
We tomba mkeo achaga blahblah weweee na visingizio kibao. Siku wanakutombea ndio utajua hujui
 
Wapo mkuu..mbona kawaida sana kuna watu wana akili za ajabu sana,ila inawezekana sana tu
Niletee iyo mutu
Srarehe ya maskin ngon ,Bao sita ,kazin anatumia akili gani😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…