William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Kwa umri alionao mpaka ije kuwa kama BBC labda wajukuu!!
Shikamoo babu- Ninataka kuamini kwamba unaujua umri wangu na kwamba wewe ni Mungu, maana nilianza na Blog MWaka 2012 mkasema sana na leo yamekuwa haya bado mnasema tu maskini ya Mungu poleni sana hahahahahahaha hapa kazi tu hahahaha huwa hatusikilizi maneno maneno ya shombo!
le Mutuz
[emoji23][emoji23]dooh
hiyo ni kashfa mpya kwa le Mutuz yaani studio kubwa hivyo wewe unaiona ati ni ndogo!Watanzania tunajua kumkatisha mtu tamaa. Nyie mwenzenu kathubutu kufanya hiko kidogo. Wengine mnambeza hapa ila hamna hela hata ya kununua mic moja ya laki 5 nyambf zenu. Mwacheni huyo jamaa anapigana na life lake. Hata akiwa na chumba ka choo haiwahusu. Mbona mna akili ndogo kama ya liso
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo ni kashfa mpya kwa le Mutuz yaani studio kubwa hivyo wewe unaiona ati ni ndogo!
AC NA VIFAA VYA KUPIKIA CHAI
Wewe bro... waache tu hao maana wengine wanamaneno utazani wana million100 ndani kumbe wangine Hata mbuni hawana ndani.View attachment 573110
- hahahahaha sure hii ni sehemu maalum ya kurekodia vipindi ni 10 x 10 nafikiri unajua Square Meter moja kwa hapa doantown baei yake so cha msingi ni location zaidi
View attachment 573112
- Huu upande wa pili ni ofisi ya productions na Blog, tuna nafasi ya kutosha kwa wale tuliowahi kuishi nje ya nchi kuwa na ofisi au studio downtown sio kitu rahisi nyie wadanganyeni waiojua lolote humu na hawajawahi kwenda popote ndio wanawaweza kuwashangilia lakini sio mtu aliyeishi nje na anajua thamani ya vifaa tulivyonavyo so far na bado hatujamaliza,
- Kuna mackbook desktops zinakuja from Nairobi, na bado kuna meza zinatengenezwa hazijaisha zinakuja sepcial kwa ajili ya kazi so guys tupo sawa saana na right on the track
le Mutuz
Unawaondoa vijana mtaan kvp huku we mwnyw bado upo mtaani?View attachment 573102
- Vijana wameshaanza mazoezi baada ya kupata ajira hapa kwenye new studio, kama kutoa ajira kwa vijana kama hawa na kuwatoa mtaani ni aibu then naomba nibebe hiyo aibu, i hope na wewe unafanya mambo kama yangu ya kusaidia kuondoa vijana mtaani na kuwapa ajira!
le Mutuz
Ndugu yangu MSAGA SUMU kitu kikishafika Tanzania ujue kwa wenzetu kishakuwa old fasheni kabisa...View attachment 572587 Wakati yakiwa yamebakia masaa machache kabla ya macho na maskio ya mamilioni ya watanzania kuhamishiwa downtown Bongo kwa tukio kubwa namba mbili mwaka huu ,huku namba moja likiwa lile la usomaji wa ripoti ya mchanga. Mmiliki wa kituo hicho kikubwa cha televisheni amewaonesha mashabiki wake mashine kadhaa alizonunua Marekani na Ulaya zikiwa katika majaribio ya mwisho mwisho.
Baadhi ya mashine za kisasa zilizobahatika kutambulishwa na Lemutuz ni mashine maalum za kuongelea(mics),vifaa vya kukalia (maarufu kama viti),kamera za kisasa kabisa zenye uwezo mkubwa,extension cables zenye urefu usioelezeka,acs pamoja na mashine nyingine ndogondogo kama vifaa vya kunywea chai na super coffee.
Lemutuz amedai ubunifu na kila kitu kwenye studio yake kunaenda kubadilisha jinsi watu wamezoea kupokea habari na uenda ikawa ni revolution itakayodumu kwa miaka 100 ijayo.
Pia Lemutuz ametumia muda huo kuwaomba vijana waliomaliza vyuo vikuu kuanza kutuma maombi ya ajira katika kampuni hiyo kuwa ya utangazaji
Lemutuz una ID nyingi.. Hongera
Halaf umenunua viti mic coffee maker toka marekani na ulaya?
Hata watoto wa mange uwez ukawadanganya upuuzi huo
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app