Mwanaume mashine; Pitia hapa uone mashine za kisasa kwenye kituo kipya cha TV cha Lemutuz



Nimecheka....sana...na mazuria mbali mbali....kwa jina jingine makapeti.
 
Le Mutuz kuna siku nilikuquote nikapigwa selo(ban), leo ngoja ninyamaze.

Ila picha za Le totozz, Le Mtindiz, umetubania sana hapa
 
Mlaumu Msaga Sumu aliyeleta jf
 
Comments zenu mmh...vibaya hivoo. Hata mbuyu ulianza kama mchicha
Mchicha una mashine nyingi za kuukuza ataa high-tech ijaweza kufikia [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahhahahahahhahahahjaha msaga sumu umenichekesha jaman duh eti vifaa
 


MSAGA SUMU ndo bloger wa udaku au
Sio bora ukadai chako mapemaaaaaa

Simpi Kiki kunguni wa mwendokasi
 
Hii studio au uchochoro ngoja aje aone mange kimambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…