Mwanaume mashine; Pitia hapa uone mashine za kisasa kwenye kituo kipya cha TV cha Lemutuz

Mwanaume mashine; Pitia hapa uone mashine za kisasa kwenye kituo kipya cha TV cha Lemutuz

Unawaondoa vijana mtaan kvp huku we mwnyw bado upo mtaani?

Sent from koromije using bashite
upload_2017-8-23_12-7-42.jpeg


- Sawa sawa hapa ni ofisini kwangu ila kwako ni mtaani tunapishana tafsiri labda hahahahahahaha

le Mutuz
 
safari bado ni ndefu kwa mkuu Lemutz cha msingi akomae tu asikubali kukata tamaa huo ni mwanzo mzuri kwake, hakuna aliyeanzia juu wote walipambana.

- Hakuna urefu wowote nina malengo yangu na soon utayaona cha msingi ilikuwa kweka bas na ndio hii hapa sasa subiri uone ninavyopaa hahahahahaha

le Mutuz
 
- Hakuna urefu wowote nina malengo yangu na soon utayaona cha msingi ilikuwa kweka bas na ndio hii hapa sasa subiri uone ninavyopaa hahahahahaha

le Mutuz
Kila la heri kiongozi Mungu yu pamoja na wapambanaji wote.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
- hahahahaha mbona umechanganya picha za ukweli na zisizokuwa zake, kisa na mkasa ni nini hasa? hahahahaha sisi tunasonga mbele mkuu kazi kazi ndio imeshaanza hahahahahaha mtakufwa tu kwa presha hahahahaha

le Mutuz
Picha ya kwanza ni Ayo. Hizo zilizofuata sijasema kuwa ni za ayo, nimesema kuwa ungekuwa na vifaa kama hivyo ungetamba kiasi gani kama kwa hivi vikamera vya video za kwaya ndo uNatamba kiasi hicho? umechanganyikiwa mpaka unasema picha za kweli na zisizo za kweli, hahaaaaaaa. Hatujakataa na kazi yako kusonga mbele, Tena wengi tu tunakuunga mkono na kukupongeza kwa jitihada hii uliyofikia, LAKINI kujisifia kiasi hicho eti vifaa vya kisasa na studio ya kisasa nikama umetuona sisi watu wa kolomije sana. PLEASE nyamaza kimya kisha fanya kazi yako and let us see, sisi ndio watazamaji na wapimaji sio wewe, LAKINI if it's for your eyes only, it's ok for you, inawezekana hapo ndo the best of your mind and thought, we agree with you with no doubt. The size of dreams are not measured by size of body.
KEEP IT UP BIGMAN.
 
Picha ya kwanza ni Ayo. Hizo zilizofuata sijasema kuwa ni za ayo, nimesema kuwa ungekuwa na vifaa kama hivyo ungetamba kiasi gani kama kwa hivi vikamera vya video za kwaya ndo uNatamba kiasi hicho? umechanganyikiwa mpaka unasema picha za kweli na zisizo za kweli, hahaaaaaaa. Hatujakataa na kazi yako kusonga mbele, Tena wengi tu tunakuunga mkono na kukupongeza kwa jitihada hii uliyofikia, LAKINI kujisifia kiasi hicho eti vifaa vya kisasa na studio ya kisasa nikama umetuona sisi watu wa kolomije sana. PLEASE nyamaza kimya kisha fanya kazi yako and let us see, sisi ndio watazamaji na wapimaji sio wewe, LAKINI if it's for your eyes only, it's ok for you, inawezekana hapo ndo the best of your mind and thought, we agree with you with no doubt. The size of dreams are not measured by size of body.
KEEP IT UP BIGMAN.

- hahahaha kazi yangu ni Media yaani kupiga kelele ila kwa vile uwezo wako ni mdogo sana wa kuelewa ndio maana hujui kwamba kelele zangu huwa ni calculated ninapoi promote studio yangu kabla ya kuanza kuna ninayoyalenga na on a serious note ninayapata, hii sio kazi ya jeshi that inahitaji siri kwenye media tunapiga kelele ila kelele za sababu pole sana jifunze kufikiria sana next time kabla hujarukia treni kwa mbele

le Mutuz
 
- Hakuna urefu wowote nina malengo yangu na soon utayaona cha msingi ilikuwa kweka bas na ndio hii hapa sasa subiri uone ninavyopaa hahahahahaha

le Mutuz
Millard Ayo ni mtoto wa juzi tu hapa lkn amekupiga gap mbaya kabisa.

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
 
Em ona aibu basi...hiyo camera cannon EOS rebel T5i (700D) ndio unajitapa nayo kuwa umenunua bei kubwa kwanza ina 18.0 MP tu... Afu toleo La zamani ani . em tafuta hata rebel T6i kidogo ... Najiuliza ungekuwa na cannon EOS 5DS 50.6MP full flame je [emoji35] [emoji35]

Sent using Jamii Forums mobile app

- I mean hauko serious Camera Cannon 5D MARK 111 unajua bei yake na ni ya mwaka gani? hahahahahaha pole sana mkuu nenda kajifunze tena maana ungekuwa mjuzi ungejua bei ya lens yake tu kuwa ni sawa nyumba unayoishi huko swekeni!!

le Mutuz
 
View attachment 573110

- hahahahaha sure hii ni sehemu maalum ya kurekodia vipindi ni 10 x 10 nafikiri unajua Square Meter moja kwa hapa doantown baei yake so cha msingi ni location zaidi
View attachment 573112

- Huu upande wa pili ni ofisi ya productions na Blog, tuna nafasi ya kutosha kwa wale tuliowahi kuishi nje ya nchi kuwa na ofisi au studio downtown sio kitu rahisi nyie wadanganyeni waiojua lolote humu na hawajawahi kwenda popote ndio wanawaweza kuwashangilia lakini sio mtu aliyeishi nje na anajua thamani ya vifaa tulivyonavyo so far na bado hatujamaliza,

- Kuna mackbook desktops zinakuja from Nairobi, na bado kuna meza zinatengenezwa hazijaisha zinakuja sepcial kwa ajili ya kazi so guys tupo sawa saana na right on the track

le Mutuz
Mkuu hongera kwa hatua nzuri, wabongo hawaishi majungu. Binafsi nimeingia studio za TBC 1 na TBC Taifa Bamaga kiukweli ni vyumba vidogo hapo kwako kuna nafasi ya kutosha sana, studio sio uwanja wa mpira. Chumba cha studio sio kama ukumbi wa mikutano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Millard Ayo ni mtoto wa juzi tu hapa lkn amekupiga gap mbaya kabisa.

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.

- kwanza nimemkuta kwenye game, lakini ninajali yangu ndio maana ninafanya haya ninayofanya kazi kazi

le Mutuz
 
- kwanza nimemkuta kwenye game, lakini ninajali yangu ndio maana ninafanya haya ninayofanya kazi kazi

le Mutuz
Sawa chief,all the best.

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
 
Mkuu hongera kwa hatua nzuri, wabongo hawaishi majungu. Binafsi nimeingia studio za TBC 1 na TBC Taifa Bamaga kiukweli ni vyumba vidogo hapo kwako kuna nafasi ya kutosha sana, studio sio uwanja wa mpira. Chumba cha studio sio kama ukumbi wa mikutano.

Sent using Jamii Forums mobile app

- hahahaha hawanisumbui na hawajawahikunisumbua kwanza huoni wananipa promo ya bure unajua ningeilipia pesa ngapi promo kama hii ya bure? hahahahahaha

le Mutuz
 
I'm humbled you know

Even a black folk hate to see another nigga made it..
 
Back
Top Bottom