lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Jitafute Mo na Bakhresa wana mahali Pao huwa wanakunywa kahawa pamoja...pesa huwa inaongea yenyewe huna haha ya kujikweza motherf..,..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni wazee Mimi ni mtoto mdogo mwenye pesa nyingi miaka 28 tuJitafute Mo na Bakhresa wana mahali Pao huwa wanakunywa kahawa pamoja...pesa huwa inaongea yenyewe huna haha ya kujikweza motherf..,..
Wewe ni ka mbwa koko flan hiv hapo tandika sudani,umenyonyoka manyoya kishenzi unaishi kwa macholo ya pombe za kienyeji zinazonywewa kwenye mafangulo humoo. Huna hata laki hapo ulipoMimi mtoto mdogo tajiri unaelewa maana ya tajiri mtoto
Tafuta hela mzee umezeeka unamiaka huna pesa utawaambia nini wajukuu zako au ndio utawaringishia huo uzee wakoWewe ni ka mbwa flan hiv hapo tandika sudani, unaishi kwa macholo ya pombe za kienyeji zinazonywewa kwenye mafangulo humoo. Huna hata laki hapo ulipo
Hata siku moja dunia,tajiri wa kweli mwenye pesa zake,hajitangazi wala kujisifia.Hua nashangaa Hawa wanawake wanaoishi na masikini yaani kuna mwanamke alikua kachakaa kapigwa vumbi na mtoto mgongoni anatia huruma anakuja kuniomba pesa Mimi kwakua ananijua ni tajiri mtoto nikimuuliza huna mme akasema anae ila Hana pesa Wala kazi kalala ndani aisee nikamuambia inakuaje na unakua na mwanaume rofa yaani pesa ya kukutunza tu Hana je ataweza kua tajiri kama Mimi ataweza kweli nikampa kimillion 1 nikamuambia aende akafungue biashara na mumewe rofa Ili watunze familia alinushukuru mara Mbili mbili aisee yaani kama ningekua Namtaka ningeshamla Mimi nashauri dada zangu msiolewe na marofa Hawa masikini matakufa na shida zenu sababu hawatobadilika
Wewe umewajuaje hao matajiri wakubwa duniani bila kujitangaza?Hata siku moja dunia,tajiri wa kweli mwenye pesa zake,hajitangazi wala kujisifia.
Ukiniona Mimi ujue umeona helachif godlove
Huna baya
Nakukubali
Hua nasoma sana makala zako
Wewe ndio mwanaume sasa
Najua tu utanipa laki chap sana
Tafuta helaUnajua JF ni kama maji, sio samaki tu utapata hadi konokono maji.
Sasa wewe ndio kundi la konokono maji
Tafuta hela masikini wewe nitakulamba risasiHuyu mtu hata huku yupo? aina ha watu ambao akili zao fupi kama mkia wa mbuzi
surely 😄 🤣Mental case is real.
SawaNi haki ya kila Mtu Kutoa mawazo yake.
Kwèñye Maisha kîla Mtu anavipaombele vyake.
Siô kîla Mtu kipaombele chake ni Pesa.
Wàpo Watu wakipata Laki tatu Kwa Mwezi inawatosha Kabisa.
Hata la5 nna waswas hujafika 😄Hua nashangaa Hawa wanawake wanaoishi na masikini yaani kuna mwanamke alikua kachakaa kapigwa vumbi na mtoto mgongoni anatia huruma anakuja kuniomba pesa Mimi kwakua ananijua ni tajiri mtoto nikimuuliza huna mme akasema anae ila Hana pesa Wala kazi kalala ndani aisee nikamuambia inakuaje na unakua na mwanaume rofa yaani pesa ya kukutunza tu Hana je ataweza kua tajiri kama Mimi ataweza kweli nikampa kimillion 1 nikamuambia aende akafungue biashara na mumewe rofa Ili watunze familia alinushukuru mara Mbili mbili aisee yaani kama ningekua Namtaka ningeshamla Mimi nashauri dada zangu msiolewe na marofa Hawa masikini matakufa na shida zenu sababu hawatobadilika