Mwanaume masikini ni lofa, hapaswi kupendwa

Jitafute Mo na Bakhresa wana mahali Pao huwa wanakunywa kahawa pamoja...pesa huwa inaongea yenyewe huna haha ya kujikweza motherf..,..
 
Jitafute Mo na Bakhresa wana mahali Pao huwa wanakunywa kahawa pamoja...pesa huwa inaongea yenyewe huna haha ya kujikweza motherf..,..
Hao ni wazee Mimi ni mtoto mdogo mwenye pesa nyingi miaka 28 tu
 
Hata siku moja dunia,tajiri wa kweli mwenye pesa zake,hajitangazi wala kujisifia.
 
Hata la5 nna waswas hujafika 😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…