mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Ukirud wewe kwenye hiyo asili inatosha usitupangie jinsi ya kuishiTena huyo mmoja presha juu.
Hulali, huhemi, hukohoi🤣🤣🤣
Mke mmoja anakulinda balaa nafuu ya Bodigadi.
Una akili kweli?
Na bado anaweza kuzaa nje ya ndoa na akakubambikia.
Tusiposhtuka tutabaki kama Zamwamwa. Turudi kwenye Asili yetu mazee.