Mwanaume mbembeleze mwanamke baada ya ugomvi, mtatuua kwa stress

Umeanza vizuri ila ulivyomalizia woga ndo umeharibu!

Kila mmoja ana wajibu wa kuhakikisha mahusiano yanakuwa ya amani,furaha na upendo!

Halafu kila mmoja anamjua mtuwe aloko naye kwenye mahusiano, kama wako ni pasua kichwa ulimpenda mwenyewe! Hao wa dot com wapo wapi eti!

Na ujue kuna wanawake na wasichana, na kuna wanawake wenye akili za kisichana sasa kazi kwako!
 
Khaaaah!!
Eti huu ndio urijali[emoji134][emoji134]
Bora niwe na asie rijali tu nijue moja.
Yeah, kuishi na mwanamke kwa akili kuna mengi humo katikakati. I wouldn't say I'm so sorry directly, lakini kwa matendo yangu utajua nimeomba msamaha na najutia nilichofanya, lakini eti "samahani mke wangu, nisamehe"..teh nah nah!!
 
Mama si afadhali wewe unaongelea hata ulie na malengo nae, wenzio ni wanandoa kabisaaaa na wananuniana na wanajisifia kununa(tena wanaume[emoji134])

Wengine anakosea yeye halafu anataka uombe msamaha wewe.
Inawezekana vipi lakini mtu mnanuniana na mnalala kitanda kimoja?

Mie naonaga kama maigizo vile dear
 
Khaaaah!!
Eti huu ndio urijali[emoji134][emoji134]
Bora niwe na asie rijali tu nijue moja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kabisaaa bora tuwe na wanaume wasio marijali tu kwa kweli yaani nikubali kuteseka kwenye ndoa eti ili mradi tu nionekane nimeolewa na mwanaume rijali, nahi karungi.
 
Kuna wanawake wenye gubu kari hatakusemesha hadi mwezi uishe hata ufichi chupi yake......hasa wanawake wa mikoani wanamisimamo mikali sanaa hawana smile au jokes akiamuwa ameamuwa tu
Sasa hao ndo wanaendana na wanaume wao wa mikoani
 
Easier said than done! Tafakari maisha yako na ndugu wa damu yalivyo, yachukue yaishi ndani ya nyumba na mtu mliyekutana ukubwani, ain't easy my dear!
Nope
Kipi kikubwaa cha kukununisha siku ama wiki!

Hakuna kitu kigumu kama kukaa saa kadhaa bila amani!

Nina ndugu watatu sikumbuki tumegombana lini, tukigombana huwa tunaishia kucheka tuu kama ikiwa worse simu inapigwa kwa baba kabla hujafika kwako mnaanza kucheka tuu!

Maybe mie ni muoga wa ugomvi ila kununa siku nzima nitakufwa
 
Mimi niliambiwa kwenye kikome na babu nikubembekeze kwa kukupiga na mkuyenge au mgegedo wa nguvu!!!!!
 
upo mwanaharakati!
 
Wanaume wa kuwambeleza kila wakati waliisha awamu ya Kikwete. Siku hizi ukiendekeza utoto unapata unachostahili.
 
Tatizo ni pale kila siku anayejishusha ni yule yule hata kwa kosa lisilo lake.
 
Kwa hiyo umesikia ss ndo tuna mioyo ya chuma ambao hatutaki kubembelezwa, ujinga ufanye ww halafu nikubembeleze Tena, badae unajisifu kwa shoga zako jamaa Hana usemi kwangu , hata nifanyaje hawezi chomoka, utakua ni upuuzi wa hali ya juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…