😅Nina wategemezi wanne hivi 200k unaoa kabsa huko so kujitesa mkuu30k per day means 900k per month, mishahara ya watu hii Baada ya kukatwa Kodi.
Kuna jobless mmoja Nampa 200k na ame oa.Jitafakari mzee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅Nina wategemezi wanne hivi 200k unaoa kabsa huko so kujitesa mkuu30k per day means 900k per month, mishahara ya watu hii Baada ya kukatwa Kodi.
Kuna jobless mmoja Nampa 200k na ame oa.Jitafakari mzee.
Bro watu Wana ishi, na Wana furaha kinyama.😅Nina wategemezi wanne hivi 200k unaoa kabsa huko so kujitesa mkuu
🤣Kaka Mie bado maskini sana 900k ujue hapo kuna kodi za serikali mkuu 5000 uchafu, 5000 service levy, kila mwezi, TRA 25000 Kila Baada ya miezi mitatu Aya bado umeme 14k kwa mwezi, chakula 10k watu wanne,mtu wq usafi 15k per week, mambo ni mengi chief900k ni umasikini??, ama niku fundishe kupangilia budget??
Mimi Siku ikikaa vZuri naweza piga 45k 😅lakini ukiamka asubuhi mweupe kinyamaBro watu Wana ishi, na Wana furaha kinyama.
Nawa oneaga wivu, coz furaha yao ni real kinyama
We jamaa una matumizi mabovu kinyama 😂.🤣Kaka Mie bado maskini sana 900k ujue hapo kuna kodi za serikali mkuu 5000 uchafu, 5000 service levy, kila mwezi, TRA 25000 Kila Baada ya miezi mitatu Aya bado umeme 14k kwa mwezi, chakula 10k watu wanne,mtu wq usafi 15k per week, mambo ni mengi chief
We jamaa una matumizi mabovu kinyama 😂.
Usi nunue vitu kwa Bei ya rejareja, nunua bei ya jumla.
Kisha weka stock ndani, hela ita onekana
Si una mke mpe ana jua kuvi tunza, no fridge shekhe??.Sasa mkuu huwezi weka stock ya nyama ndani, wala stock ya nyanya, karoti, hoho hvi vitu vinaoza
Sina mke badoSi una mke mpe ana jua kuvi tunza, no fridge shekhe??.
Tumia makopo yenye mfuniko, weka maji, Kisha hizo karoti au hoho.
Hela tukishatafuta ndo tuwape ninyi? Hivi mchawi wenu alizikiwa wapi?Kwaiyo 80 ni hela kubwa sana kumpa mwanamke Kwa ajil ya urembo apendeze wengine wakiwahudumia mnawaona wanapendeza mate yanawajaa
Wanaume tafuten hela achen visingizio kama huwez hudumia mke wako achen kuja huku kulia mpate huruma za wengine
Mkuu uje utumie mrenda wa bamia kwa wingi halafu uwe na uvuguvugu............Kha! Hatari so 80k sio hela nyingi mweee!!! Bora niendelee na nyeto ya mlenda
Kwani wewe unapandwa na kupendezeshwa kwa shillings ngapi?Kwaiyo 80 ni hela kubwa sana kumpa mwanamke Kwa ajil ya urembo apendeze wengine wakiwahudumia mnawaona wanapendeza mate yanawajaa
Wanaume tafuten hela achen visingizio kama huwez hudumia mke wako achen kuja huku kulia mpate huruma za wengine
Kabisaaa...mrenda ndio dili maana naona utelezi wa mbususu umepanda bei sio poaMkuu uje utumie mrenda wa bamia kwa wingi halafu uwe na uvuguvugu............
Unaikosea sana hiyo 30k per day unayoipata!! Au ndio niite kupatwa kwa pesa??Sasa mwanachama mwenzangu ujue sahv kijana maskini na mwanamke singo maza ndio wanatakiwa waishi pamoja maana wote hawana soko
Huyo kijana wako ni mwamba sana, hapo una jembeZamani nilikuwa na imani kali kuliko hii ya kwako na hakuna mtu aliyekuja kuniambia badilika.
Bali nature yenyewe tu ilinionesha uhalisia wa watu wangu..
Nimewahi kusota two years straight hakuna kuingiza hata buku kwa wiki..
But imagine nilibaki na watu wawili tu upande wangu na walikaa na mimi as if sisoti yaani..
1,, Mke wangu
2,, Mtoto wangu mdogo wa kiume.
Msoto ulipozidi na kuibuka majanga ambayo yalichukua uwezo na nguvu zangu pamoja na uhuru wangu alibaki mmoja tu upande wangu..
Na huyo si mwingine bali mtoto wangu wa kiume yaani Imagine mwanaume nimekamatwa na kufungwa mwanamke akaondoka siku ya hukumu
Mtoto wangu wa miaka mitatu akakataa kuondoka na mama yake akasema yeye atabaki nyumbani kumsubiri baba yake mpaka atakaporudi..
Na alibaki kweli akaishi kwa majirani mpaka siku ile ambayo baba yake niliachiwa huru
Unaweza kuimagine hicho kitu yaani..
Hao wa namna hiyo wanyoosheni mpaka akili zako zikae sawatunasoma nyuzi kama hiz huku tunatabasamu tu,,huku nje mnajiachia sana kwetu,,,eg mamaa kesho napokea million 2 nishaur nifanyie nin..........
Kuna watu wanaongea kama wamemeza redio na bado wanataabika huku mtaaniAchana na mambo ya hizo code ni hivi ukijuwa kuongea ni rahisi kumbadilisha mwanamke mawazo afu hakunaga mkate mgumu mbele ya chai
Nimeipenda hii tajirKwani wewe unapandwa na kupendezeshwa kwa shillings ngapi?
Kua na huruma basi na wanaume wenzioHao wa namna hiyo wanyoosheni mpaka akili zako zikae sawa
Wanajitakia wenyewe,tena huyo anayesema baby nina milioni mbili tunafanyaje,mpe kwanza bajet ya laki tano yako binafsi ujikwatue,halafu uone kama kesho atakwambia tena😂😂Kua na huruma basi na wanaume wenzio
good idea,, Asante sana 😂😂😂ila we muuajiWanajitakia wenyewe,tena huyo anayesema baby nina milioni mbili tunafanyaje,mpe kwanza bajet ya laki tano yako binafsi ujikwatue,halafu uone kama kesho atakwambia tena😂😂