Mwanaume mwenye hekima hamwambii Mwanamke wake haya mambo mawili

Mwanaume mwenye hekima hamwambii Mwanamke wake haya mambo mawili

View attachment 3202586

Maexpert wa kiume nawapa mchongo ambao wanaume wenye hekima tu ndio wanaielewa hii code

Mosi, mwanamke wako hatakiwi kujua hisia zako za ukweli kabisa,yes you heard me!

Fanya utakavyo fanya na ishi naye utakavyo ishi naye lakini mwanamke wako anatakiwa asikujue kabisa wewe ni mtu wa namna gani,yani anatakiwa asikuelewe kwa asilimia mia moja

Mwanamke kwa asilimia kubwa huwa hajui anataka nini kwahiyo kwakuwa hajui anataka nini basi na wewe mfanye asikujue wewe ni mtu wa namna gani,yani hapo utamfanya abakie njia panda na unakuwa na mvuto kwake

Kinyume chake akikujua kabisa wewe ni mtu wa namna fulani basi unaanza kumboa na unakuwa huna mvuto tena kwake,uwe sometime yes na sometime no yani haupoi

Sometime unampa ruhusa aende sehemu fulani na kuna nyakati hautoi ruhusa,yani ili mradi uwe haueleweki,kwa kufanya hivyo utakuwa na mvuto kwake

Ogopa sana mwanamke anataka labda kutoka na wenzake,badala ya kuja kwako kutaka ruhusa,pale pale anawaambia wenzake nitakuja tu kwasababu mume wangu wala huwa hana neno au hana shida, jua expert hapo amekujua kuwa wewe upo hivi kwahiyo naye atakuchukulia kihivyo

Code ya pili maexpert wenzangu,mwanamke wako anatakiwa asijue una fedha kiasi gani bank,yan ajue tu una hela lkn asijue kiasi halisi kabisa,mpende utakavyo mpenda lakini hapo mwamba usiweke wazi,la sivyo utamuona mwanamke wako ana tamaa kumbe wewe mwenyewe umehamsha tamaa yake

Kumbuka wanawake na pesa ni marafiki sana,kuna mwamba mmoja alikuwa anajisifu kuwa hakuna anayeweza kumla demu wake,ni jamaa kutoka huko kigamboni kwa akina Vincenzo Jr

Wadau wakamwambia kwahiyo unajiamini kabisa tubet,jamaa akasema ruhsa,kama unavyojua kwakuwa wamba wanajua udhaifu wa wanawake,basi mwamba mmoja akamtokea demu na kumpa shilingi 500,000/=

Kilichofuatia hapo dem alifanywa kitoeo safi kabisa,kwahiyo wakati mwingine ni sisi wenyewe tunatengeneza mazingira ya kupigwa mizinga,kuna uzi mmoja nilisoma juzi kati wa expert mmoja hivi,anasema demu aliomba hela ya kwenda saluni akampa 80,000

Sasa asichojua huyo expert ni kwamba dem alimpigia ramli jamaa akajua kama saluni ametoa hii basi huyu jamaa ni mtamu,siku ya pili si akaletewa mkeka wa gharama kibao,matokeo yake mwamba kashusha uzi kueleza malalamiko yake

Na hapo hajajua account yako inasomaje,je akijua si utajifia bure wewe!!!


Ni hayo tu!
Kama hukumkuta bikra huyo siyo mkeo hata usipoeleweka vipi kaa ukijua huyo ni mke wa mtu ipo siku ataenda kwa waume zake kikubwa ni kuishi nae kama vile hauishi nae na kamwe usimuweke moyoni, kwa wale mliooa single maza nyie ni R.I.P kabisa
 
View attachment 3202586

Maexpert wa kiume nawapa mchongo ambao wanaume wenye hekima tu ndio wanaielewa hii code

Mosi, mwanamke wako hatakiwi kujua hisia zako za ukweli kabisa,yes you heard me!

Fanya utakavyo fanya na ishi naye utakavyo ishi naye lakini mwanamke wako anatakiwa asikujue kabisa wewe ni mtu wa namna gani,yani anatakiwa asikuelewe kwa asilimia mia moja

Mwanamke kwa asilimia kubwa huwa hajui anataka nini kwahiyo kwakuwa hajui anataka nini basi na wewe mfanye asikujue wewe ni mtu wa namna gani,yani hapo utamfanya abakie njia panda na unakuwa na mvuto kwake

Kinyume chake akikujua kabisa wewe ni mtu wa namna fulani basi unaanza kumboa na unakuwa huna mvuto tena kwake,uwe sometime yes na sometime no yani haupoi

Sometime unampa ruhusa aende sehemu fulani na kuna nyakati hautoi ruhusa,yani ili mradi uwe haueleweki,kwa kufanya hivyo utakuwa na mvuto kwake

Ogopa sana mwanamke anataka labda kutoka na wenzake,badala ya kuja kwako kutaka ruhusa,pale pale anawaambia wenzake nitakuja tu kwasababu mume wangu wala huwa hana neno au hana shida, jua expert hapo amekujua kuwa wewe upo hivi kwahiyo naye atakuchukulia kihivyo

Code ya pili maexpert wenzangu,mwanamke wako anatakiwa asijue una fedha kiasi gani bank,yan ajue tu una hela lkn asijue kiasi halisi kabisa,mpende utakavyo mpenda lakini hapo mwamba usiweke wazi,la sivyo utamuona mwanamke wako ana tamaa kumbe wewe mwenyewe umehamsha tamaa yake

Kumbuka wanawake na pesa ni marafiki sana,kuna mwamba mmoja alikuwa anajisifu kuwa hakuna anayeweza kumla demu wake,ni jamaa kutoka huko kigamboni kwa akina Vincenzo Jr

Wadau wakamwambia kwahiyo unajiamini kabisa tubet,jamaa akasema ruhsa,kama unavyojua kwakuwa wamba wanajua udhaifu wa wanawake,basi mwamba mmoja akamtokea demu na kumpa shilingi 500,000/=

Kilichofuatia hapo dem alifanywa kitoeo safi kabisa,kwahiyo wakati mwingine ni sisi wenyewe tunatengeneza mazingira ya kupigwa mizinga,kuna uzi mmoja nilisoma juzi kati wa expert mmoja hivi,anasema demu aliomba hela ya kwenda saluni akampa 80,000

Sasa asichojua huyo expert ni kwamba dem alimpigia ramli jamaa akajua kama saluni ametoa hii basi huyu jamaa ni mtamu,siku ya pili si akaletewa mkeka wa gharama kibao,matokeo yake mwamba kashusha uzi kueleza malalamiko yake

Na hapo hajajua account yako inasomaje,je akijua si utajifia bure wewe!!!


Ni hayo tu!
hayanaga muongozo
 
Hii naona imekaa zaidi kitamaduni,kwa maana utaratibu wa kurithishana,huenda kama mke hujampa mikofi na akisikia wenzake wanakula makofi anaona humpendi

Ni kama mademu wa mjini usipo mpa hela anaona humpendi
Ni kweli mkuu, huku mjini makofi ni pesa. Sasa naona kipigo hapo anapata mtoaji pesa
 
Kati ya ndugu zako tumbo moja na mke yupi ni zaidi mimi kwangu ndugu ni bora
Zamani nilikuwa na imani kali kuliko hii ya kwako na hakuna mtu aliyekuja kuniambia badilika.

Bali nature yenyewe tu ilinionesha uhalisia wa watu wangu..

Nimewahi kusota two years straight hakuna kuingiza hata buku kwa wiki..
But imagine nilibaki na watu wawili tu upande wangu na walikaa na mimi as if sisoti yaani..
1,, Mke wangu
2,, Mtoto wangu mdogo wa kiume.

Msoto ulipozidi na kuibuka majanga ambayo yalichukua uwezo na nguvu zangu pamoja na uhuru wangu alibaki mmoja tu upande wangu..
Na huyo si mwingine bali mtoto wangu wa kiume yaani Imagine mwanaume nimekamatwa na kufungwa mwanamke akaondoka siku ya hukumu
Mtoto wangu wa miaka mitatu akakataa kuondoka na mama yake akasema yeye atabaki nyumbani kumsubiri baba yake mpaka atakaporudi..
Na alibaki kweli akaishi kwa majirani mpaka siku ile ambayo baba yake niliachiwa huru
Unaweza kuimagine hicho kitu yaani..
 
Zamani nilikuwa na imani kali kuliko hii ya kwako na hakuna mtu aliyekuja kuniambia badilika.

Bali nature yenyewe tu ilinionesha uhalisia wa watu wangu..

Nimewahi kusota two years straight hakuna kuingiza hata buku kwa wiki..
But imagine nilibaki na watu wawili tu upande wangu na walikaa na mimi as if sisoti yaani..
1,, Mke wangu
2,, Mtoto wangu mdogo wa kiume.

Msoto ulipozidi na kuibuka majanga ambayo yalichukua uwezo na nguvu zangu pamoja na uhuru wangu alibaki mmoja tu upande wangu..
Na huyo si mwingine bali mtoto wangu wa kiume yaani Imagine mwanaume nimekamatwa na kufungwa mwanamke akaondoka siku ya hukumu
Mtoto wangu wa miaka mitatu akakataa kuondoka na mama yake akasema yeye atabaki nyumbani kumsubiri baba yake mpaka atakaporudi..
Na alibaki kweli akaishi kwa majirani mpaka siku ile ambayo baba yake niliachiwa huru
Unaweza kuimagine hicho kitu yaani..
Pole mkuu ila mimi ndugu ni zaidi aseeeh
 
Utajifunza kupitia njia ngumu kuwa ndugu zako ni wanao ambao unaogopa kuwaleta duniani huku ukihudumia watoto wa baba yako..
Yaani wewe unajitwisha majukumu ya baba yako halafu unaona ni sawa tu..
Mzee wangu alishajitoa kuhudumia ikabidi nikomae tu
 
tunasoma nyuzi kama hiz huku tunatabasamu tu,,huku nje mnajiachia sana kwetu,,,eg mamaa kesho napokea million 2 nishaur nifanyie nin..........
 
Achana na mambo ya hizo code ni hivi ukijuwa kuongea ni rahisi kumbadilisha mwanamke mawazo afu hakunaga mkate mgumu mbele ya chai
 
Umetelekeza watoto wangapi kaka kipato. Changu kidogo 30k per day mtoto ATAISHI vipi sina bima, wala pension
30k per day means 900k per month, mishahara ya watu hii Baada ya kukatwa Kodi.

Kuna jobless mmoja Nampa 200k na ame oa.Jitafakari mzee.
 
Back
Top Bottom