Mwanaume mwenzangu, mara ya mwisho kula hii kitu ilikuwa lini?

Mwanaume mwenzangu, mara ya mwisho kula hii kitu ilikuwa lini?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Wanaume tumekuwa tukiangaika sana juu ya kufanya vizuri tuwapo kwenye tendo, wapo wanaotumia sijui mkongo, vidonge, energy drinks nakadhalika ili kuwa na pafomansi nzuri kwenye tendo.

Hivyo vyote hapo juu vina madhara kiafya tena vinakumaliza kabisa maana kuna kipindi usipovitumia hivyo huwezi kufanya chochote.

umeishawahi kujaribu hii kitu? Karanga mbichi nyeupe, asali, tende na maziwa fresh? Kama bado jaribu leo utakuwa kunishukuru.

Pia usisahau kutafuta pesa ni muhimu sana hii lasihivyo itakuwa ni kazi bure.

CA831134-1FCE-478F-8C3E-E1BBCB81A2BA.jpeg
 
Wanaume tumekuwa tukiangaika sana juu ya kufanya vizuri tuwapo kwenye tendo, wapo wanaotumia sijui mkongo, vidongo, energy drinks nakadhalika ili kuwa na pafomansi nzuri kwenye tendo.

Hivyo vyote hapo juu vinamadhara kiafya tena vinakumaliza kabisa maana kuna kipindi usipovitumia hivyo huwezi kufanya chochote.

umeishawahi kujaribu hii kitu? Karanga mbichi nyeupe, asali, tende na maziwa fresh? Kama bado jaribu leo utakuwa kunishukuru.

Pia usisahau kutafuta pesa ni muhimu sana hii lasihivyo itakuwa ni kazi bure.



View attachment 2724316

IMG_0162.jpg

Daily
 
Ngono ukiwa na stimulus hata haikusumbui.

Stimulus ni PESA. Pesa! Pesa!

Kwanza ukimaliza unamshukru Muumba Kwa kukuumbia huo muogo ulionao.

Ukisikia MTU Hanna Pesa utapata ugonjwa wa kupiga kamoja chali sijui ndio wanaita nguvu za uume?.

Pesa lakini zisiwe za kafara..
Pesa kulingana na nafasi yako
Pesa zilizobaki nje ya matumizi ya kifamilia.

Pesa za ziada nenda kafanyie ngono maana utatoa ujila Kwa mwanamke.
 
Ngono ukiwa na stimulus hata haikusumbui.

Stimulus ni PESA. Pesa! Pesa!

Kwanza ukimaliza unamshukru Muumba Kwa kukuumbia huo muogo ulionao.

Ukisikia MTU Hanna Pesa utapata ugonjwa wa kupiga kamoja chali sijui ndio wanaita nguvu za uume?.


Pesa lakini zisiwe za kafara..
Pesa kulingana na nafasi yako
Pesa zilizobaki nje ya matumizi ya kifamilia.
Pesa za ziada nenda kafanyie ngono maana utatoa ujila Kwa mwanamke.
Unastahili kuandika kitabu mkuu uache urithi hapa Duniani....mawazo yako ni sahihii 100%
 
Unastahili kuandika kitabu mkuu uache urithi hapa Duniani....mawazo yako ni sahihii 100%
Mkuu! Hawa viumbe tunawalaumu tu lakini wanaume tumeumbwa kuwahudumia. Shida ni kwamba maisha Kwa upande wa wanaume yametuwia magumu sana. Tunatamani wapenzi wetu au wake zetu tuwafanyie vile kama viumbe wanaoipendezesha dunia lakini maisha yanachanganya! Yanazidi kuwa magumu tu!

Jasho linatoka lakini matokeo duni.
Wachache wenye navyo wengi katika wengi.
Wanawake kutaka kujipambania( hakuna mwanamke anataka kuishi kinyonge) ndio Hivyo tena wanakuwa wanaliwa kimasihala sana.

Mwisho unakuta imetaanuka hata ufanyeje unakuwa kama unaogelea tu. Hapo utamridhisha kiumbe kama hicho kweli si ni kama huwa wanatuzuga tu na ile milio Yao..

Mambo ni mengi muda ni mchache.

Tuishi katika nafasi zetu.
 
Ya ukweli hii hapa
 

Attachments

  • 03b1910fd75a4df99738f94364e09f0a.jpg
    03b1910fd75a4df99738f94364e09f0a.jpg
    40.5 KB · Views: 5
Wanaume tumekuwa tukiangaika sana juu ya kufanya vizuri tuwapo kwenye tendo, wapo wanaotumia sijui mkongo, vidonge, energy drinks nakadhalika ili kuwa na pafomansi nzuri kwenye tendo.

Hivyo vyote hapo juu vina madhara kiafya tena vinakumaliza kabisa maana kuna kipindi usipovitumia hivyo huwezi kufanya chochote.

umeishawahi kujaribu hii kitu? Karanga mbichi nyeupe, asali, tende na maziwa fresh? Kama bado jaribu leo utakuwa kunishukuru.

Pia usisahau kutafuta pesa ni muhimu sana hii lasihivyo itakuwa ni kazi bure.

View attachment 2724316
Haijawahi kuniangusha!
 

Attachments

  • FB_IMG_1691611692914.jpg
    FB_IMG_1691611692914.jpg
    21.2 KB · Views: 5
Kiukweli huu upuuzi sili,unajichosha kote ukute manzi ako hapendi shoo anapenda Hela.
 
Back
Top Bottom