The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Wanaume tutafte pesa, wanawake wazuri wapo tu miaka yote ya maisha yako.
Larry Ellison mmiliki wa kampuni ya mifumo ya Oracle ana miaka 80, ameoa kimwana wa miaka 33, tofauti ya umri wa miaka 47.
Mugabe alimuoa Grace akiwa anamzidi miaka 40,
Mmliki wa Nkatie Burger, burger maarufu sana Afrika Magharibi hasa Ghana ana miaka 74, amejichukulia kimwana wa miaka 24, tofauti ya miaka 50.
Sadio Mane wa Liverpool ana miaka 32 kajichukilia mtoto wa 2007, mtoto mbichi kabisa anakula maisha.
Wazee tutafte pesa.
Larry Ellison mmiliki wa kampuni ya mifumo ya Oracle ana miaka 80, ameoa kimwana wa miaka 33, tofauti ya umri wa miaka 47.
Mugabe alimuoa Grace akiwa anamzidi miaka 40,
Mmliki wa Nkatie Burger, burger maarufu sana Afrika Magharibi hasa Ghana ana miaka 74, amejichukulia kimwana wa miaka 24, tofauti ya miaka 50.
Sadio Mane wa Liverpool ana miaka 32 kajichukilia mtoto wa 2007, mtoto mbichi kabisa anakula maisha.
Wazee tutafte pesa.