Davidson david
JF-Expert Member
- Jul 26, 2023
- 1,029
- 1,051
Hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Australopithecus enjoying life.
View attachment 3190056
siku hizi sex ni gharama, hupati bureWasiokuwa na hela hawapati sex au,
Ila kila mtu apambane kivyake
Kama unaona huwezi kuhimili mahitaji yake in the long run, basi fanya tu mpango umchakate tu kusafisha nyota kisha temana nae.
Wewe tupa ndoano mkuu, jifunze kutoka kwa wanyama mfano jogoo, yeye jogoo akiona tetea anamtaka anakimbiza tu, akimpata anamla akimkosa basi alikua anafanya mazoezi ya kuweka mwili safi. Mimi hiyo ndio falsafa yangu kama ya jogoo, mwanamke akinikataa ni sawa nilikua nafanya mazoezi, akinikubali basi vizuri.
🤣🤣🤣 wanatafuta wa kuwalia mafao mkuu waache wajifariji, me wanaamini kuwa miili yao in function foreverYani niteseke na upwiru Miaka 80, halafu sukari ikianza kuzingua ndio nioe. Huyo mke au msimamizi wa mirathi
🤣🤣🤣 dah! Uyo wamiaka 80s aiseee akijitaidi n kimoja cha jogoo sasa hapo ndyo utajua pesa ainaguvu kama umri umesha gonga 70sWanaume tutafte pesa, wanawake wazuri wapo tu miaka yote ya maisha yako.
Larry Ellison mmiliki wa kampuni ya mifumo ya Oracle ana miaka 80, ameoa kimwana wa miaka 33, tofauti ya umri wa miaka 47.
Mugabe alimuoa Grace akiwa anamzidi miaka 40,
Mmliki wa Nkatie Burger, burger maarufu sana Afrika Magharibi hasa Ghana ana miaka 74, amejichukulia kimwana wa miaka 24, tofauti ya miaka 50.
Sadio Mane wa Liverpool ana miaka 32 kajichukilia mtoto wa 2007, mtoto mbichi kabisa anakula maisha.
Wazee tutafte pesa.
Aisee we jamaa unapenda sana ngono nadhan chuo kikuu kungekua na course za ngono BILA SHAKA GPA YAKO INGEISIMAMISHA DUNIA 😂😆Kabisa matumizi mazuri ya hela
Mie nikiwa billionea aise siwezi gegeda mwanamke above 28 years.
Sawaa mkuu tumekuelewaa ☺️Wanaume tutafte pesa, wanawake wazuri wapo tu miaka yote ya maisha yako.
Larry Ellison mmiliki wa kampuni ya mifumo ya Oracle ana miaka 80, ameoa kimwana wa miaka 33, tofauti ya umri wa miaka 47.
Mugabe alimuoa Grace akiwa anamzidi miaka 40,
Mmliki wa Nkatie Burger, burger maarufu sana Afrika Magharibi hasa Ghana ana miaka 74, amejichukulia kimwana wa miaka 24, tofauti ya miaka 50.
Sadio Mane wa Liverpool ana miaka 32 kajichukilia mtoto wa 2007, mtoto mbichi kabisa anakula maisha.
Wazee tutafte pesa.
Sasa chakushangaza mie chuo ndio nilikiwa bwege na domo zege wakutupwa....nimekuja kula mbususu mwaka wangu wa mwisho tenanhiyo ni asante mig33...enzi hizo badoo bado haijaingia alikuwa anatamba mig33Aisee we jamaa unapenda sana ngono nadhan chuo kikuu kungekua na course za ngono BILA SHAKA GPA YAKO INGEISIMAMISHA DUNIA 😂😆
Natamani sana nirudi chuo nikasome kozi yoyote tuu niwe mazingira ya chuo niwe nawagegeda tuuAisee we jamaa unapenda sana ngono nadhan chuo kikuu kungekua na course za ngono BILA SHAKA GPA YAKO INGEISIMAMISHA DUNIA 😂😆