Mwanaume tafuta pesa, wanawake wazuri utawapata bila kujalisha una miaka mingapi

Mwanaume tafuta pesa, wanawake wazuri utawapata bila kujalisha una miaka mingapi

Waambie mkuu, Mimi mwenyewe bado sijazishika ila Demu wangu nimemzidi miaka 16, je nikijakuzishika sawasawa itakuwaje?
 
Sahihi kabisaa..
Kama unaona huwezi kuhimili mahitaji yake in the long run, basi fanya tu mpango umchakate tu kusafisha nyota kisha temana nae.

Wewe tupa ndoano mkuu, jifunze kutoka kwa wanyama mfano jogoo, yeye jogoo akiona tetea anamtaka anakimbiza tu, akimpata anamla akimkosa basi alikua anafanya mazoezi ya kuweka mwili safi. Mimi hiyo ndio falsafa yangu kama ya jogoo, mwanamke akinikataa ni sawa nilikua nafanya mazoezi, akinikubali basi vizuri.
 
Sijui kama mwaka utaisha vizuri kwa mtindo huu ila hivi visichana vidogo unaweza ukakojoa hadi povu
 
Hao ova 30 tuachieni sie, hamuwawezi kabisa. Yaani nikutane na mdada mzuri ana 39-45 nimuache, hawa ni watamu kuliko, hawana kufake wala hawakupi gono na uti. Mkikaa sehemu mnaongea vinaeleweka, hivi nakaa na mtu sehemu tunaanza kuongea unashangaa story za wasanii na nyimbo hata huelewi nini kitoto kinaongea.
 
Kuna wanawake wapo kwenye mahusiano na wanaume wenye umri mkubwa wasio na pesa
 
Wanaume tutafte pesa, wanawake wazuri wapo tu miaka yote ya maisha yako.

Larry Ellison mmiliki wa kampuni ya mifumo ya Oracle ana miaka 80, ameoa kimwana wa miaka 33, tofauti ya umri wa miaka 47.

Mugabe alimuoa Grace akiwa anamzidi miaka 40,

Mmliki wa Nkatie Burger, burger maarufu sana Afrika Magharibi hasa Ghana ana miaka 74, amejichukulia kimwana wa miaka 24, tofauti ya miaka 50.

Sadio Mane wa Liverpool ana miaka 32 kajichukilia mtoto wa 2007, mtoto mbichi kabisa anakula maisha.


Wazee tutafte pesa.
🤣🤣🤣 dah! Uyo wamiaka 80s aiseee akijitaidi n kimoja cha jogoo sasa hapo ndyo utajua pesa ainaguvu kama umri umesha gonga 70s
 
Wanaume tutafte pesa, wanawake wazuri wapo tu miaka yote ya maisha yako.

Larry Ellison mmiliki wa kampuni ya mifumo ya Oracle ana miaka 80, ameoa kimwana wa miaka 33, tofauti ya umri wa miaka 47.

Mugabe alimuoa Grace akiwa anamzidi miaka 40,

Mmliki wa Nkatie Burger, burger maarufu sana Afrika Magharibi hasa Ghana ana miaka 74, amejichukulia kimwana wa miaka 24, tofauti ya miaka 50.

Sadio Mane wa Liverpool ana miaka 32 kajichukilia mtoto wa 2007, mtoto mbichi kabisa anakula maisha.


Wazee tutafte pesa.
Sawaa mkuu tumekuelewaa ☺️
 
Aisee we jamaa unapenda sana ngono nadhan chuo kikuu kungekua na course za ngono BILA SHAKA GPA YAKO INGEISIMAMISHA DUNIA 😂😆
Sasa chakushangaza mie chuo ndio nilikiwa bwege na domo zege wakutupwa....nimekuja kula mbususu mwaka wangu wa mwisho tenanhiyo ni asante mig33...enzi hizo badoo bado haijaingia alikuwa anatamba mig33
 
Aisee we jamaa unapenda sana ngono nadhan chuo kikuu kungekua na course za ngono BILA SHAKA GPA YAKO INGEISIMAMISHA DUNIA 😂😆
Natamani sana nirudi chuo nikasome kozi yoyote tuu niwe mazingira ya chuo niwe nawagegeda tuu
 
Back
Top Bottom