Mwanaume tafuta pesa, wanawake wazuri utawapata bila kujalisha una miaka mingapi

Nimecheka balaa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚mwamba una falsafa moja kali sana
 
Wewe unazungumzia ma gold digger sasa sio wife material.
 
To be honest, โ€Šsijawahi kupoteza pesa wakuu, labda kama kuna mtu anataka nimsaidie kutafuta
 
kwahiyo usizini siyo dhambi tena!
 
Mwanaume kukata
liwa kawaida sana mkuu, tupa ndoano akitema achana nae, usiende kinyonge sana kama ulivyoandika hapa as if huna choice nyingine zaidi yake atakusumbua. Nenda kwa mtongozo atakao mfanya ajione wakawaida kama wengine na ukweli wa uzuri unaouona ubaki nao wewe moyoni mwako, akichomoa potezea
 
kwahiyo usizini siyo dhambi tena!
Hizo ni stori tu za wazungu. Wazungu wameandika kwenye vitabu vyao kuzini ni dhambi na kufirana ni dhambi halafu wamefika hapa kati wamegeuza gia angani kwamba kufirana sio dhambi wala sio kosa

Sasa bora uwe na mwanamke zaidi ya mmoja ama uoe mwanaume mwenzako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ