Mwanaume tajiri anafaidika vipi na ndoa zaidi ya ngono tu?

Mwanaume tajiri anafaidika vipi na ndoa zaidi ya ngono tu?

YE67NBE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2015
Posts
15,155
Reaction score
36,337
Habari kwenu, nyote

Nilikuwa najiuliza kwa mfano ww ni mwanaume tajiri au una hela za kutosha,, na umri wako ni 35+ huko

Lets say kwa mwezi unaingiza 87M, ila hujaoa lakini wazazi wako, na ndugu wanakulazimisha uoe,

Lakini pia ukiangalia vitu vyote wanavyopata wanaume wenzako kwenye ndoa, wewe unavipata na zaidi yaani unapata in excess kabisa kupitia hela zako,

Kama:
1. Mwanamke MWENYE AKILI wa kukushauri.
2. Mwanamke MCHESHI wa kutaniana naye.
3. Mwanamke wa kubebishana nae na kukubembeleza.
4. Mwanamke MZURI wa kufanya naye tendo.

Hivi vyote hapo juu unapata sababu ya hela zako tu ulizonazo wala hutumii nguvu yoyote ile ni kugusa tu imo, ndani

Sasa mwanaume kama huyu anafaidika vipi na ndoa ndugu zangu wakati vyote hivi anavipata nje ya ndoa yake, tena kwa bashasha nyingi mno.

Na hata huo utajiri alipata bila uwepo wa mwanamke yeyote yule ni ku hustle tu kivyake for 15+ years huko, 🤔

Na hata mwanaume huyo akiumwa ana bima nzuri tu ya hela nyingi na anaweza tibiwa VIZURI TU,

Na mwanaume huyo hajatulia bado ana njaa ya mafanikio zaidi kama nini ingali ana hela ila ni mtafutaji sana tu,

Naombeni ushauri, na majibu nyie wanaume matajiri mliopata utajiri kwa nguvu zenu BILA MWANAMKE ila mkaja mkafunga ndoa baadae , je kuna faida, yoyote ile mliopata kwenye hizo ndoa zenu mpaka sasa

N.B: HUU UZI NIMEUWEKA ILI NIPATE USHAURI MZURI TU MAANA NIMEJIULZA SANA HILI SWALI ILA SIJAPATA JIBU SAHIHI, NINI FAIDA YA NDOA KWA MWANAUME TAJIRI 🤔🤔
 
Habari kwenu, nyote

Nilikuwa najiuliza kwa mfano ww ni mwanaume tajiri au una hela za kutosha,, na umri wako ni 35+ huko

Lets say kwa mwezi unaingiza 87M, ila hujaoa lakini wazazi wako, na ndugu wanakulazimisha uoe,

Lakini pia ukiangalia vitu vyote wanavyopata wanaume wenzako kwenye ndoa, wewe unavipata na zaidi yaani unapata in TU MAANA NIMEJIULZA SANA HILI SWALI ILA SIJAPATA JIBU SAHIHI, NINI FAIDA YA NDOA KWA MWANAUME TAJIRI [emoji848][emoji848]
Ndoa ni za zaidi ya ngono mkuu kuna vitu vingi sana ndani ya ndoa
 
Habari kwenu, nyote

Nilikuwa najiuliza kwa mfano ww ni mwanaume tajiri au una hela za kutosha,, na umri wako ni 35+ huko

Lets say kwa mwezi unaingiza 87M, ila hujaoa lakini wazazi wako, na ndugu wanakulazimisha uoe,

Lakini pia ukiangalia vitu vyote wanavyopata wanaume wenzako kwenye ndoa, wewe unavipata na zaidi yaani unapata in excess kabisa kupitia hela zako,

Kama:
1. Mwanamke MWENYE AKILI wa kukushauri.
2. Mwanamke MCHESHI wa kutaniana naye.
3. Mwanamke wa kubebishana nae na kukubembeleza.
4. Mwanamke MZURI wa kufanya naye tendo.

Hivi vyote hapo juu unapata sababu ya hela zako tu ulizonazo wala hutumii nguvu yoyote ile ni kugusa tu imo, ndani


Sasa mwanaume kama huyu anafaidika vipi na ndoa ndugu zangu wakati vyote hivi anavipata nje ya ndoa yake, tena kwa bashasha nyingi mno.

Na hata huo utajiri alipata bila uwepo wa mwanamke yeyote yule ni ku hustle tu kivyake for 15+ years huko, 🤔

Na hata mwanaume huyo akiumwa ana bima nzuri tu ya hela nyingi na anaweza tibiwa VIZURI TU,

Na mwanaume huyo hajatulia bado ana njaa ya mafanikio zaidi kama nini ingali ana hela ila ni mtafutaji sana tu,

Naombeni ushauri, na majibu nyie wanaume matajiri mliopata utajiri kwa nguvu zenu BILA MWANAMKE ila mkaja mkafunga ndoa baadae , je kuna faida, yoyote ile mliopata kwenye hizo ndoa zenu mpaka sasa

N.B: HUU UZI NIMEUWEKA ILI NIPATE USHAURI MZURI TU MAANA NIMEJIULZA SANA HILI SWALI ILA SIJAPATA JIBU SAHIHI, NINI FAIDA YA NDOA KWA MWANAUME TAJIRI 🤔🤔
Utaelewa Tu badae kidog ,
 
Back
Top Bottom