Mwanaume tajiri anafaidika vipi na ndoa zaidi ya ngono tu?

Mwanaume tajiri anafaidika vipi na ndoa zaidi ya ngono tu?

Hili sakata la mashoga linakua kwa kasi sana eti mwanaume kabisa anauliza mwanaume anafaidikaje na ndoa kisa anapata mwanamke anapohitaji
una jiandaa kuwekwa ndani na mwanaume mwenzako nini?

maana swali limekaa kibendera bendera
 
Kwani una sh ngapi kwanza?
Hebu weka bank balance zako za benk hata mbili tu lacal na currency tukusaminishe.
Ukute una salio la mpesa tu halafu unachezea wino wetu hapa.
 
Stress tu ukiwa na Pesa usipende kukaa karibu na wanawake hasa Hawa wabongo

Afya yako ya Akili ni muhimu kuzidi kataa ndoa
 
Habari kwenu, nyote

Nilikuwa najiuliza kwa mfano ww ni mwanaume tajiri au una hela za kutosha,, na umri wako ni 35+ huko

Lets say kwa mwezi unaingiza 87M, ila hujaoa lakini wazazi wako, na ndugu wanakulazimisha uoe,

Lakini pia ukiangalia vitu vyote wanavyopata wanaume wenzako kwenye ndoa, wewe unavipata na zaidi yaani unapata in excess kabisa kupitia hela zako,

Kama:
1. Mwanamke MWENYE AKILI wa kukushauri.
2. Mwanamke MCHESHI wa kutaniana naye.
3. Mwanamke wa kubebishana nae na kukubembeleza.
4. Mwanamke MZURI wa kufanya naye tendo.

Hivi vyote hapo juu unapata sababu ya hela zako tu ulizonazo wala hutumii nguvu yoyote ile ni kugusa tu imo, ndani


Sasa mwanaume kama huyu anafaidika vipi na ndoa ndugu zangu wakati vyote hivi anavipata nje ya ndoa yake, tena kwa bashasha nyingi mno.

Na hata huo utajiri alipata bila uwepo wa mwanamke yeyote yule ni ku hustle tu kivyake for 15+ years huko, [emoji848]

Na hata mwanaume huyo akiumwa ana bima nzuri tu ya hela nyingi na anaweza tibiwa VIZURI TU,

Na mwanaume huyo hajatulia bado ana njaa ya mafanikio zaidi kama nini ingali ana hela ila ni mtafutaji sana tu,

Naombeni ushauri, na majibu nyie wanaume matajiri mliopata utajiri kwa nguvu zenu BILA MWANAMKE ila mkaja mkafunga ndoa baadae , je kuna faida, yoyote ile mliopata kwenye hizo ndoa zenu mpaka sasa

N.B: HUU UZI NIMEUWEKA ILI NIPATE USHAURI MZURI TU MAANA NIMEJIULZA SANA HILI SWALI ILA SIJAPATA JIBU SAHIHI, NINI FAIDA YA NDOA KWA MWANAUME TAJIRI [emoji848][emoji848]
'Tendo la ndoa', halipatikani nje ya ndoa, hata kama analipata.
 
Hafaidiki chochote zaidi ya kujitafutia stress...

Jeff bezos, Billgate Kanye west waliachana na wake zao waka move on na life lao.

Elon musk hajaoa,

Ndoa ni stress.
Si kwamba wameachana na hiyo biashara, bali wako na watu wengine. Kubadilisha butcher, nyama ile ile.
 
familia nzuri.ili kuwa na familia Bora hunabudi kuishi kwenye ndoa
hatakama una tilioni kazaa lakini watoto unazaa hovyo bila ndoa utazaraulika tuu kwenye uzao wako wanao watakuhisi wee ni muhuni tuu na kunasehem watakuona unapwaya hasa wakike.
 
Sikuzote mkeo ni ubavu wako mkuu,na biblia haijasema mbavu nyingi ...Yaan wanawake wengi...maana nijuacho pesa itakufanya uwe na wanawake wengi Kwa kubadilishabadilisha

Inakuwaje mtu mmezaliwa na wazazi tofauti na hauna hata ukoo nae nae mmekutana ukubwani halafu awe ubavu wako??? Hii concept kwamba mke ni ubavu wa mume wake ni ya kipumbavu na haimake sense hata kwa mtu kichaa.

Back to the topic.

Kuwa tajiri na kukaribisha wanawake wengi tofauti tofauti kwenye maisha yako ni hatari zaidi ya ukoma.

Ukijaaliwa kuwa tajiri option salama kwako kuhusu mapenzi ni 2.

1- Nenda kijijini kwenu /kwenu ulikozaliwa, washirikishe wazee kuhusu mke bora, chagua yule watakaem-suggest kwako na wewe ukamuelewa..OA!! Linapokuja swala la kuoa muonekano wa mwanamke huwa sio kipaumbele. Kipaumbele ni SIFA NA TABIA za mwanamke husika.


2- Kama kuoa kwako sio big deal, kausha mambo ya mademu yasiwe kipaumbele sana, chagua girl friend mmoja tu kwa wakati..halafu asikujue saana..la sivyo UTAKUWA HATARI I UKIENDEKEZA WANAWAKE
 
Inakuwaje mtu mmezaliwa na wazazi tofauti na hauna hata ukoo nae nae mmekutana ukubwani halafu awe ubavu wako??? Hii concept kwamba mke ni ubavu wa mume wake ni ya kipumbavu na haimake sense hata kwa mtu kichaa.

Back to the topic.

Kuwa tajiri na kukaribisha wanawake wengi tofauti tofauti kwenye maisha yako ni hatari zaidi ya ukoma.

Ukijaaliwa kuwa tajiri option salama kwako kuhusu mapenzi ni 2.

1- Nenda kijijini kwenu /kwenu ulikozaliwa, washirikishe wazee kuhusu mke bora, chagua yule watakaem-suggest kwako na wewe ukamuelewa..OA!! Linapokuja swala la kuoa muonekano wa mwanamke huwa sio kipaumbele. Kipaumbele ni SIFA NA TABIA za mwanamke husika.


2- Kama kuoa kwako sio big deal, kausha mambo ya mademu yasiwe kipaumbele sana, chagua girl friend mmoja tu kwa wakati..halafu asikujue saana..la sivyo UTAKUWA HATARI I UKIENDEKEZA WANAWAKE
Asante kwa ushauri
 
Back
Top Bottom