min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mnapenda sana kutumia hayo mavitabu ya dini kwenye kila jambo kwenywe jamii ya mchanganyiko wa watu wengi wenyewe mitazamo tofauti , ndio maana mkipigwa za mbavu mdhibitishe uwepo wake mnapoteana [emoji847][emoji16][emoji16][emoji16].Sikuzote mkeo ni ubavu wako mkuu,na biblia haijasema mbavu nyingi ...Yaan wanawake wengi...maana nijuacho pesa itakufanya uwe na wanawake wengi Kwa kubadilishabadilisha