Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Una kili sana totoo, ndio maana nakupenda.Hataki kazi anataka mstaaafu Moja aishi nae😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una kili sana totoo, ndio maana nakupenda.Hataki kazi anataka mstaaafu Moja aishi nae😂
🤣🤣🤣Hakika anastahili pepo ...Mtoa mada ajengewe sanamu kwa hiyo namba mbili tu.
Energy inayotakiwa ni namba mbili tu, hivyo ondoa hofu.Mstaafu atakuwa ana Eneji ya kutosha ? Au awe anajiboost na matilio kutoka DiAraSiii ??? 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣😉Energy inayotakiwa ni namba mbili tu, hivyo ondoa hofu.
We hangaika na wastaafu ngoja yakufie kifuaniUna kili sana totoo, ndio maana nakupenda.
🤣🤣🤣🤣We hangaika na wastaafu ngoja yakufie kifuani
Sikuombei mabaya! Mi nakuombea mema nyakati zote🤣🤣🤣🤣
Sasa mbona unaniombea mabaya tena🙆♂️🙆♂️🙆♂️
This is bulshit.1.mpende kwa maneno mazur mkeo
2.mpe pesa sio lazima hela nying ni hata vijisent mpe tu elf 7 kum na nk bila maelekezo yaan yake kama unazo nying mpe tu hata nne tano milion au gar
3.kua msafi unaevutia mbele za watu au wanawake wengine
4.jar ndugu zake au marafiki
5.show show kitandan fanya kama alikula nauli mara nying sasa leo kakosea njia kaja
6.msaidie kaz siku moja moja
7.muheshimu yaan tembea na machangudoa madem kibao lakin asijue yaan usiwasiliane nao kwa simu yako hata ukimuachia week nzima asione kitu
8.usiwe na gubu kufoka foka kama msanii wa hiphop
9.msifie mbele za watu au mkiwa wawil ukiona dc magot anamsifia wife kwenye mkutano wa hadhara sio boya ile ni mbinu ya kivita
10.mpe mipango yako mikubwa ajue future yako like kuna kampuni yangu ntaifungua au bar na nk
Uchawi upo humu ukiyaelewa niliyoyasema umeyaelewa maisha
Usiwe na matarijio meng kwa mwanamke akikuzalia na kukufulia chupi inatosha usiwe complicated na kutaka afanye meng nae ni binadam kama anakusalit na anakuficha na nyumban anakupa huduma zote kama mume ziba macho kama huon
Adam tu aliachana na mke wake
Kwa makosa ya mwanamke hivyo atakukosea tu jiandae kisaikolojia kua uko na mkosaji mda wowote ataharibu usiwe surprise akikosoa ukaanza kulia mpaka makamasi
Namba 7. yamenikuta nipo natengeneza Hali ya amani irud Kama zamani Sitorudia japo ni meseji tuu.1.mpende kwa maneno mazur mkeo
2.mpe pesa sio lazima hela nying ni hata vijisent mpe tu elf 7 kum na nk bila maelekezo yaan yake kama unazo nying mpe tu hata nne tano milion au gar
3.kua msafi unaevutia mbele za watu au wanawake wengine
4.jar ndugu zake au marafiki
5.show show kitandan fanya kama alikula nauli mara nying sasa leo kakosea njia kaja
6.msaidie kaz siku moja moja
7.muheshimu yaan tembea na machangudoa madem kibao lakin asijue yaan usiwasiliane nao kwa simu yako hata ukimuachia week nzima asione kitu
8.usiwe na gubu kufoka foka kama msanii wa hiphop
9.msifie mbele za watu au mkiwa wawil ukiona dc magot anamsifia wife kwenye mkutano wa hadhara sio boya ile ni mbinu ya kivita
10.mpe mipango yako mikubwa ajue future yako like kuna kampuni yangu ntaifungua au bar na nk
Uchawi upo humu ukiyaelewa niliyoyasema umeyaelewa maisha
Usiwe na matarijio meng kwa mwanamke akikuzalia na kukufulia chupi inatosha usiwe complicated na kutaka afanye meng nae ni binadam kama anakusalit na anakuficha na nyumban anakupa huduma zote kama mume ziba macho kama huon
Adam tu aliachana na mke wake
Kwa makosa ya mwanamke hivyo atakukosea tu jiandae kisaikolojia kua uko na mkosaji mda wowote ataharibu usiwe surprise akikosoa ukaanza kulia mpaka makamasi
HahaaMdogo wangu itumie weekend yako vizuri kwa kupumzika au kwenda baharini kubalizi. Wewe ni Mwanafunzi wa Chuo unajiko nfyuziii na mambo ambayo hujayafikia soma kwanza.
Cc: Mpaji Mungu
Na hapo ndio mnapofel mtapigiwa sana wake zenu sababu hamjui sayany ya kuish na wanawakeThis is bulshit.
A man should not be as ignorant as this soy man.
Pathetic.
Hapo kwa kuwajaki mdg zangu wameshindwa.1.mpende kwa maneno mazur mkeo
2.mpe pesa sio lazima hela nying ni hata vijisent mpe tu elf 7 kum na nk bila maelekezo yaan yake kama unazo nying mpe tu hata nne tano milion au gar
3.kua msafi unaevutia mbele za watu au wanawake wengine
4.jar ndugu zake au marafiki
5.show show kitandan fanya kama alikula nauli mara nying sasa leo kakosea njia kaja
6.msaidie kaz siku moja moja
7.muheshimu yaan tembea na machangudoa madem kibao lakin asijue yaan usiwasiliane nao kwa simu yako hata ukimuachia week nzima asione kitu
8.usiwe na gubu kufoka foka kama msanii wa hiphop
9.msifie mbele za watu au mkiwa wawil ukiona dc magot anamsifia wife kwenye mkutano wa hadhara sio boya ile ni mbinu ya kivita
10.mpe mipango yako mikubwa ajue future yako like kuna kampuni yangu ntaifungua au bar na nk
Uchawi upo humu ukiyaelewa niliyoyasema umeyaelewa maisha
Usiwe na matarijio meng kwa mwanamke akikuzalia na kukufulia chupi inatosha usiwe complicated na kutaka afanye meng nae ni binadam kama anakusalit na anakuficha na nyumban anakupa huduma zote kama mume ziba macho kama huon
Adam tu aliachana na mke wake
Kwa makosa ya mwanamke hivyo atakukosea tu jiandae kisaikolojia kua uko na mkosaji mda wowote ataharibu usiwe surprise akikosoa ukaanza kulia mpaka makamasi
Huwajui wanawake, kama Mungu aliyewaumba kashindwa kuwaridhisha utaweza wewe? (kawapa makali na matiti wanayabadilisha, kucha, nywele, nyusi, mashavu nakadhalika)1.mpende kwa maneno mazur mkeo
2.mpe pesa sio lazima hela nying ni hata vijisent mpe tu elf 7 kum na nk bila maelekezo yaan yake kama unazo nying mpe tu hata nne tano milion au gar
3.kua msafi unaevutia mbele za watu au wanawake wengine
4.jar ndugu zake au marafiki
5.show show kitandan fanya kama alikula nauli mara nying sasa leo kakosea njia kaja
6.msaidie kaz siku moja moja
7.muheshimu yaan tembea na machangudoa madem kibao lakin asijue yaan usiwasiliane nao kwa simu yako hata ukimuachia week nzima asione kitu
8.usiwe na gubu kufoka foka kama msanii wa hiphop
9.msifie mbele za watu au mkiwa wawil ukiona dc magot anamsifia wife kwenye mkutano wa hadhara sio boya ile ni mbinu ya kivita
10.mpe mipango yako mikubwa ajue future yako like kuna kampuni yangu ntaifungua au bar na nk
Uchawi upo humu ukiyaelewa niliyoyasema umeyaelewa maisha
Usiwe na matarijio meng kwa mwanamke akikuzalia na kukufulia chupi inatosha usiwe complicated na kutaka afanye meng nae ni binadam kama anakusalit na anakuficha na nyumban anakupa huduma zote kama mume ziba macho kama huon
Adam tu aliachana na mke wake
Kwa makosa ya mwanamke hivyo atakukosea tu jiandae kisaikolojia kua uko na mkosaji mda wowote ataharibu usiwe surprise akikosoa ukaanza kulia mpaka makamasi
Naaaaaaaaaam5.show show kitandan fanya kama alikula nauli mara nying sasa leo kakosea
njia kaja
1. You are dick driven soy boy suffering from scrotal anxiety.Hahaa
Na hapo ndio mnapofel mtapigiwa sana wake zenu sababu hamjui sayany ya kuish na wanawake
Kwa andiko hili! Wewe utaa muasisi muandamizi daraja la tatu A wa ule semi wa ndoa ndoano!! Hakika u vizuri kutumia chambo kusudi ale alive!!1.mpende kwa maneno mazur mkeo
2.mpe pesa sio lazima hela nying ni hata vijisent mpe tu elf 7 kum na nk bila maelekezo yaan yake kama unazo nying mpe tu hata nne tano milion au gar
3.kua msafi unaevutia mbele za watu au wanawake wengine
4.jar ndugu zake au marafiki
5.show show kitandan fanya kama alikula nauli mara nying sasa leo kakosea njia kaja
6.msaidie kaz siku moja moja
7.muheshimu yaan tembea na machangudoa madem kibao lakin asijue yaan usiwasiliane nao kwa simu yako hata ukimuachia week nzima asione kitu
8.usiwe na gubu kufoka foka kama msanii wa hiphop
9.msifie mbele za watu au mkiwa wawil ukiona dc magot anamsifia wife kwenye mkutano wa hadhara sio boya ile ni mbinu ya kivita
10.mpe mipango yako mikubwa ajue future yako like kuna kampuni yangu ntaifungua au bar na nk
Uchawi upo humu ukiyaelewa niliyoyasema umeyaelewa maisha
Usiwe na matarijio meng kwa mwanamke akikuzalia na kukufulia chupi inatosha usiwe complicated na kutaka afanye meng nae ni binadam kama anakusalit na anakuficha na nyumban anakupa huduma zote kama mume ziba macho kama huon
Adam tu aliachana na mke wake
Kwa makosa ya mwanamke hivyo atakukosea tu jiandae kisaikolojia kua uko na mkosaji mda wowote ataharibu usiwe surprise akikosoa ukaanza kulia mpaka makamasi
Unazungumzia kufanya majaribio wakati tulisha experience na tunazungumza kama ma-graduate wenye PhD? Unatania wewe!Kwan kufanya majaribip sh ngap shida ya wabongo wanapenda kukata tamaa kabla hajaanza jambo utasikia huwez ngumu sanaaa wengi wameshindwa na nk sasa hujajaribu ushaanza kujikatia tamaa