Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Sasa bwashe Kwa ulichoandika hapa ndo ushauri watu kuhusu ndoa?Kaa kimya nipo kwenye ndoa mwaka wa 12 na mchepuko niko nao mwaka wa nane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa bwashe Kwa ulichoandika hapa ndo ushauri watu kuhusu ndoa?Kaa kimya nipo kwenye ndoa mwaka wa 12 na mchepuko niko nao mwaka wa nane
Mungu sio mjinga mpaka akakuambia oa wanne kama nguvu hunazo utamchosha mmoja unafikir mimi kama nyinyi watoto wa mjini kimoja chali mpaka week ijayo mimi bila tano sijashuka kitandan na hiyo jumatatu na jtano nataka ijumaa na jumapil na nina rungu nch naneSasa bwashe Kwa ulichoandika hapa ndo ushauri watu kuhusu ndoa?
Ndiyo maana nikakuambia kuwa siyo kila mwanamke ukimtendea kama ulivyo-suggest basi atakuwa mzuri kwako. Wewe umeandika kwa kushawishi kuwa ''ukitaka mke wako awe hivi, basi fanya 1, 2, 3. Mimi nikakuambia kuwa mambo hayako hivyo. Huoni unaji-contradict mwenyewe?Nazungumzia mke mwema sio kila mwanazme ni mume na sio kila mwanamke ni mke
1.mpende kwa maneno mazur mkeo
Robert Heriel Mtibeli Je unakubaliana na mleta mada? Niko njia panda.4.jar ndugu zake au marafiki
Ulisema umejiunga 2013? Miaka 12 kwenye ndoa? Na una mchepuko? Na hayo ndo mawazo yako?Mungu sio mjinga mpaka akakuambia oa wanne kama nguvu hunazo utamchosha mmoja unafikir mimi kama nyinyi watoto wa mjini kimoja chali mpaka week ijayo mimi bila tano sijashuka kitandan na hiyo jumatatu na jtano nataka ijumaa na jumapil na nina rungu nch nane
Mzee mwenzangu Mpaji Mungu hivi huko Kariakoo hakuna chimbo tumfungulie goli la kuuza Uji wa Mchele na Ulezi Sister ako apunguze utegemezi ??? 🤣🤣🤣ERoni Zingatia namba 2.
Mkuu hao hata uchukue zakari yako umpe akae nayo bado hawezi tulia1.mpende kwa maneno mazur mkeo
2.mpe pesa sio lazima hela nying ni hata vijisent mpe tu elf 7 kum na nk bila maelekezo yaan yake kama unazo nying mpe tu hata nne tano milion au gar
3.kua msafi unaevutia mbele za watu au wanawake wengine
4.jar ndugu zake au marafiki
5.show show kitandan fanya kama alikula nauli mara nying sasa leo kakosea njia kaja
6.msaidie kaz siku moja moja
7.muheshimu yaan tembea na machangudoa madem kibao lakin asijue yaan usiwasiliane nao kwa simu yako hata ukimuachia week nzima asione kitu
8.usiwe na gubu kufoka foka kama msanii wa hiphop
9.msifie mbele za watu au mkiwa wawil ukiona dc magot anamsifia wife kwenye mkutano wa hadhara sio boya ile ni mbinu ya kivita
10.mpe mipango yako mikubwa ajue future yako like kuna kampuni yangu ntaifungua au bar na nk
Uchawi upo humu ukiyaelewa niliyoyasema umeyaelewa maisha
Usiwe na matarijio meng kwa mwanamke akikuzalia na kukufulia chupi inatosha usiwe complicated na kutaka afanye meng nae ni binadam kama anakusalit na anakuficha na nyumban anakupa huduma zote kama mume ziba macho kama huon
Adam tu aliachana na mke wake
Kwa makosa ya mwanamke hivyo atakukosea tu jiandae kisaikolojia kua uko na mkosaji mda wowote ataharibu usiwe surprise akikosoa ukaanza kulia mpaka makamasi
Robert Heriel Mtibeli Je unakubaliana na mleta mada? Niko njia panda.
Hataki kazi anataka mstaaafu Moja aishi nae😂Mzee mwenzangu Mpaji Mungu hivi huko Kariakoo hakuna chimbo tumfungulie goli la kuuza Uji wa Mchele na Ulezi Sister ako apunguze utegemezi ??? 🤣🤣🤣
Kwan kufanya majaribip sh ngap shida ya wabongo wanapenda kukata tamaa kabla hajaanza jambo utasikia huwez ngumu sanaaa wengi wameshindwa na nk sasa hujajaribu ushaanza kujikatia tamaaNdiyo maana nikakuambia kuwa siyo kila mwanamke ukimtendea kama ulivyo-suggest basi atakuwa mzuri kwako. Wewe umeandika kwa kushawishi kuwa ''ukitaka mke wako awe hivi, basi fanya 1, 2, 3. Mimi nikakuambia kuwa mambo hayako hivyo. Huoni unaji-contradict mwenyewe?
Mstaafu atakuwa ana Eneji ya kutosha ? Au awe anajiboost na matilio kutoka DiAraSiii ??? 🤣🤣🤣Hataki kazi anataka mstaaafu Moja aishi nae😂
Baba yake Abdul anapata wasaa wa kufanya hayo kwa mama Abdul ?1.mpende kwa maneno mazur mkeo
2.mpe pesa sio lazima hela nying ni hata vijisent mpe tu elf 7 kum na nk bila maelekezo yaan yake kama unazo nying mpe tu hata nne tano milion au gar
3.kua msafi unaevutia mbele za watu au wanawake wengine
4.jar ndugu zake au marafiki
5.show show kitandan fanya kama alikula nauli mara nying sasa leo kakosea njia kaja
6.msaidie kaz siku moja moja
7.muheshimu yaan tembea na machangudoa madem kibao lakin asijue yaan usiwasiliane nao kwa simu yako hata ukimuachia week nzima asione kitu
8.usiwe na gubu kufoka foka kama msanii wa hiphop
9.msifie mbele za watu au mkiwa wawil ukiona dc magot anamsifia wife kwenye mkutano wa hadhara sio boya ile ni mbinu ya kivita
10.mpe mipango yako mikubwa ajue future yako like kuna kampuni yangu ntaifungua au bar na nk
Uchawi upo humu ukiyaelewa niliyoyasema umeyaelewa maisha
Usiwe na matarijio meng kwa mwanamke akikuzalia na kukufulia chupi inatosha usiwe complicated na kutaka afanye meng nae ni binadam kama anakusalit na anakuficha na nyumban anakupa huduma zote kama mume ziba macho kama huon
Adam tu aliachana na mke wake
Kwa makosa ya mwanamke hivyo atakukosea tu jiandae kisaikolojia kua uko na mkosaji mda wowote ataharibu usiwe surprise akikosoa ukaanza kulia mpaka makamasi
Mdogo wangu itumie weekend yako vizuri kwa kupumzika au kwenda baharini kubalizi. Wewe ni Mwanafunzi wa Chuo unajiko nfyuziii na mambo ambayo hujayafikia soma kwanza.Kwan kufanya majaribip sh ngap shida ya wabongo wanapenda kukata tamaa kabla hajaanza jambo utasikia huwez ngumu sanaaa wengi wameshindwa na nk sasa hujajaribu ushaanza kujikatia tamaa
Kikubwa amkumbushe kumeza dawa za kisukari😂Mstaafu atakuwa ana Eneji ya kutosha ? Au awe anajiboost na matilio kutoka DiAraSiii ??? 🤣🤣🤣
Bwana we zingatia tu namba mbili🤣🤣🤣Hadi makopa ukampa kisa No.2!!! Kwaba hata buku unapokea na kufurahi kabisa?
1.mpende kwa maneno mazur mkeo
Nimeishia hapa kusoma naona umekodiwa wewe sio Bure.2.mpe pesa sio lazima hela nying ni hata vijisent mpe tu elf 7 kum na nk bila maelekezo yaan yake kama unazo nying mpe tu hata nne tano milion au gar
3.kua msafi unaevutia mbele za watu au wanawake wengine
4.jar ndugu zake au marafiki
Nipunguze nimpunguzie nani?Mzee mwenzangu Mpaji Mungu hivi huko Kariakoo hakuna chimbo tumfungulie goli la kuuza Uji wa Mchele na Ulezi Sister ako apunguze utegemezi ??? 🤣🤣🤣
Mtoa mada ajengewe sanamu kwa hiyo namba mbili tu.Namba 2 tafadhali, ajitokeze mtu ili aionje mbingu ya ndoa🙏