RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,564
- Thread starter
-
- #101
Sio lazima kula pia.Hata kuwala hao, lazima wew uliwe kwanza utake usitake lazima utoboke kwanza ndio angakau unaweza uona ufalme wa mbunye. Vinginevyo unaweza liwa na usile 😂
Na ukila , umeungua tayar!!Sio lazima kula pia.
Mkifika miaka 30+ utaona ulichokiandika ni cha kijnga sana.🤣🤣🤣🤣 Yeye miaka hii anahisi kumuofa mwanamke ndoa big deal eti.!!
Tumwambie au tumuache???
Ulimsaidia kuitoa?? Wewe kaza fuvu hivyo hivyo, hakuna mwanamke wa kufanywa mjinga shauri yakoMke wa GSM aliolewa akiwa bikra. So emotional attachment ipo. Wanawake wakiwa na wanaume wengi , anakosa attachment.
Leta lipa namba.Wewe kwanza pesa ulizouza mazao ziko wapi?? Unajua chino sikuelewi kabisaa.!!? 🤣🤣🤣
Chana naye apate akili ya kutafuta pesa kwanza 😂😂😂mdogo wako yule wa chuo natupa kuleee 😂😂😂 kulingana na ushaur wako wifiii
Na hakuna mwanaume wa kufanyiwa ujinga tena. Labda atake mwenyewe .Ulimsaidia kuitoa?? Wewe kaza fuvu hivyo hivyo, hakuna mwanamke wa kufanywa mjinga shauri yako
Huyu kwani wa wapi?? 🤣🤣🤣Hata kuwala hao, lazima wew uliwe kwanza utake usitake lazima utoboke kwanza ndio angakau unaweza uona ufalme wa mbunye. Vinginevyo unaweza liwa na usile 😂
Simps hawatajifunza ila nitawafundisha kwa lazima.Pamoja na hayo yote kuandikwa watu bado wataachwa Sana.Kuachwa Ni Jambo ambalo haliepukiki kbsa ila Ni suala la Muda tu.
😅 Si hapa Jf au tushahamia Korea na mama???Huyu kwani wa wapi?? 🤣🤣🤣
Hiyo miaka ndo hatutaki kusikia habari za kufua boksa za watu, wala kupelekeshwa.!! 🤣🤣🤣Mkifika miaka 30+ utaona ulichokiandika ni cha kijnga sana.
Yaani kila leo wanaume tunapeana somo juu ya hawa viumbe. Tatizo mapenzi mmeyachukulia serious sanaWAUNGWANA.
Wakati mwanamke wako anapoanza kukupa mtazamo, anaacha kukupigia simu, anaanza kujiweka mbali na wewe, na kuondoa umakini wake kutoka kwako. Usiogope, tunza sura yako kama simba. Ni mambo mawili yanayohusika katika hili.
1. Anataka kucheza na mawazo yako na hivyo kukulazimisha UMFUKUZIE. Ni rahisi, anakufanya umkose hiyo, akufanye uhisi kuna kitu kibaya na katika kujaribu kujua ni nini kibaya anakuweka katika nafasi ya kukimbiza. Ili kukabiliana na hali ya aina hii kama mwanaume unachotakiwa kufanya ni KUCHEZA MCHEZO NAYE. Ikiwa ataondoa umakini wake, rudisha nguvu zile zile mara mbili, niamini baada ya muda mfupi atarudi kukufukuza akigundua hautilii maanani juu ya michezo au mtazamo wake, mara atakapogundua unafanya vizuri bila yeye. , hatakuwa na chaguo zaidi ya kuacha hila zake.
2. Ni ama amepata mbadala wako. Mwanamke anakuacha kwanza kihisia kabla ya kukutupa kimwili, akipata mbadala wako ataanza kukupa misimamo ya namna hiyo, hata jambo dogo utakalofanya litamkasirisha na kuishia kugombana. Ukigundua hili, rudisha nguvu zile zile na ikiwa amepata mbadala wako, utathibitisha hilo kupitia yeye kutumia nafsi yake kutengana.
Ni rahisi sana. Usikubali mambo kama haya kirahisi. Achana naye, anza upya.
Jifunze kwa faida yako au uangamie.
Sawa ni uamuzi wako.Hiyo miaka ndo hatutaki kusikia habari za kufua boksa za watu, wala kupelekeshwa.!! 🤣🤣🤣
😍😍😍 Hilo ndio muhimu, nilipanga nikuache.!! ASAP unaijua pm chino wanguLeta lipa namba.
Usipokuwa makini utaoa malaya. Na malaya atakuletea wana wasio wa damu yako wakulelee.Yaani kila leo wanaume tunapeana somo juu ya hawa viumbe. Tatizo mapenzi mmeyachukulia serious sana
Lamomy huna moyo wa kupenda kabisa,ndo maana hata ndoa hutaki😂Kwani kmetokea nini?? Huu uzi wa nne unaongelea kuwalipizia wanawake.!! 🤣🤣🤣
Si tumekubaliana mapenzi tuyachukulie km burudani, muziki ukiisha kila mmoja na njia yake.😜
Mwanamke ni binadamu kama wewe, usimpe thamani kiasi hicho.Hayo ni mawazo ya watu walioko katika ndoa changa! Kama mwanamme ukiona mkeo amenuna au amezira hujui jinsi ya kumbembeleza hujakomaa katika maswala ya ndoa! Wanawake ni kama watoto,ni kazi ndogo kuwarudisha katika mstari bila hata ya kutumia nguvu nyingi.