Venturimeter
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 224
- 523
Siku akitekenywa "baby nna shida ya laki" akizifungua hizi convs na kuzisoma upya ataenda hata kukopa na haachi kutuma na ya kutolea.Unapangwa!
You're missed dear!!Okay, hongera, Chief.
[emoji23][emoji23][emoji23]Siku akitekenywa "baby nna shida ya laki" akizifungua hizi convs na kuzisoma upya haachi kutuma na ya kutolea.
Hawa viumbe siyo wa kuwaamini kabisa