Mwanaume ukitumiwa meseji hii bila kuuliza ujue wewe ni mnoma sana kunako kitanda

Vizuri jiandae na kizinga cha elfu tatu baadae, sijui ni mimi tu ila sipend kuchati na mtu anaetumia R ktk L
 
Thread za JF za siku hizi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mwanamke hayuko romantic kabisa,, halafu hajui kuandika vizuri. Jifunzeni kwanza kuandika vizuri
 
'Azinie na mwanamke Hana akili kabisa afanya Jambo litakalo muangamiza nafsi yake'
 
Vijana tufanye kazi......... Hivyo vitu Huwa vinatuna na kusinyaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…