Saa, cheni, culture, kofia ama urembo wa aina yoyote mimi umenishinda kabisa achia mbali wallet! Nilijaribu kukaa na wallet hahaha tangu nilipo inunua sijawahi ifungua mpaka siku nikajisemea ngoja niifungue niwe viela leo nione hahaha naifungua ndio ina chanika kwa uchakavu na kukauka
Ahaa! Nilidhani tuna kasoro! Hivyo kuliko wa saa mbovu bora ambae hajavaa kabisaPole mkuu vitu vingine ni mazoea na sio mbaya kutokua navyo
Vipi ambae huwa havai kabisa.Mbona hakuna code yoyote hapo mkuu,usicomplicate maisha.
Acha kuringa basi baby 😆Jiwe Gizani limekupata,cha msingi hapo jirekebishe acha makasiriko
Sisi wavaa kacha tunapita upande upi?Bora kama huna kabisa
Yaani wanaboa sana hawa mademuDuuh utagombana na serikali sasa mkuu, kumkaba tena unapita kushoto tu.
mkongo upo, ni mipango tu ndugu.Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
we si unataka mashine inayokoboa na kusaga.Makongo tena
[emoji23][emoji23]Mkuu mimi ntakupata....
njoo kwangu basi ya kwangu inasomaHello,
Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa.
Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
Badilikeni
Kwa hiyo ukimuona yuko smart una hakiki na saa kama inasoma majira???.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeelewa vibaya namaanisha saa za mkononi
Kwa hiyo ukimuona yuko smart una hakiki na saa kama inasoma majira???.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hahahahaaa. Saa yangu ina tabia ya kusimama simama nikiona nipo karibu na mrembo nitakua naficha ili pengine unaweza kuwa ni wewe ukaichabo.Kama kavaa saa lazima nipige jicho