Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

Na wasi isije ikawa ni posti ya Uwoya anaependa majambazi wenye ngeu na makovu.

Shule zimefunguliwa vijana wa skonga... Nendeni mkapige buku...
 
Na siku izi wamewawaletea vipensi ka pedo vinavyoonesha mapaja wakikaa. Af mleta uzi ka ulijua kuna lijamaa apa ka lishoga ujue aaah hatuko ivo bana vipensi ivyo vaa chumbani na mkeo bana kuifa iga ni miungu ya kigeni
 
Eti mibanio.. naona kuna jamaa kairusha mmeanza kumwambia ni ya kike.

nani anataka kuambiwa anamiliki mipini ya majembe.
Rusha mihogo hiyo bwana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…