Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

Ji gonge hata na jiwe mkuu upate kovu kwenye ukoko hapo , goti laini hivyo halina hata sugu mkuu


Lakini sab, kwa hiyo ajiumize kusudi kuonyesha uanaume!
 
Kwangu mimi, uanaume siupimi kwa Pensi wala makovu, wala manyoya.... MAANA HIVYO VYOTE HATA MBUZI JIKE ANAVYO. Je,
Nakamilisha mahitaji ya kifamilia kama baba?

Maana makovu hata majambazi wanayo
 
Swala kama ni makovu miguu kama ya punda wa mikoani bado kuna mateja wanamambalanga wamikoani hamtii miguu na hawaogi hivyo wati wa hivylo nyie wa mkkoani mana matatizo ya Kiri??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…