[emoji1] [emoji1] [emoji1] ngoja nifuge vinyweleoNapenda kuangalia miguu yao... Vile vinyweleo mie hooooiii
Tatizo ni bundle wanapandisha daily.Hv kuna mwenye ujasiri wa kujiunga Jf halaf akalog out milele asiitamani?
Ewaaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] ngoja nifuge vinyweleo
Hahaha unanichekesha aiseeEwaaaa
Hata kama uko na chelewa haina shida kabisaa
NdioooHahaha unanichekesha aisee
Hahaha eti guu la bia halafu lainiSiku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi
Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga
Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi
Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Haha aisee chelewa alafu uvae kaptula yaan itakuwa kama imetundikwaNdiooo
Hata iwe chelewa mradi iwe na vinyweleoo
Hamna shida bhanaHaha aisee chelewa alafu uvae kaptula yaan itakuwa kama imetundikwa
Sawa mama nimekuelewaHamna shida bhana
awww !hongera ! nioneshe bathiBas kwangu utaelewa,,,im bow leged flani af thickness ya kisukuma sio toothpick.
Haaah mkuu maswali gani hayaSamahani chief. Nyumbani Upo mwenyewe?
Tulia wewe,huoni nyweleo hiloNilijua wakike
Eeh mkuu napambana kivyangu kodi za hapa na pale,guu nyweleo kibao, nimetulizana kuutafakari mwakasasa si unaona kabisa mtoto mayai mtoto wa kishua huyo.....ugumu wa mguu utatoka wapi
Nini tena mkuu,au nimezinguaNimecheka sana aisee[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaha na unajikubali, nimekupendaAah tutashindwa sasa kuwa na miguu mizuri Kisa kuwaogopa vibaka kama ninyi