mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
Hasa hilo goti la jamaa lililopinda alafu unamuuliza eti ana goutHahahahahah mkuu umefurahi sana naona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasa hilo goti la jamaa lililopinda alafu unamuuliza eti ana goutHahahahahah mkuu umefurahi sana naona
Asanteh dia, Heri ya mwaka mpya piaumepotea, heri ya mwaka mpya
Miss lazima ucheke, hakuna namna nyingineHa ha ha ha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kwa huu mguu nimeamua ku screenshot hii kwato
Unanichekesha sana
Mingine sio bia asee ni makopo ya BALTIKA[emoji1] [emoji3]
Eti ME ana guu la bia halafu softiii!!! [emoji28]
Hasa hilo goti la jamaa lililopinda alafu unamuuliza eti ana gout
Hyo ndio miguu ya kiume lazima iwe na makovu ya kutoshaHahaha mi wa kike ht nkiwa nao mlain haina kwere,ila hii miguu ya humu ni noma walah
hahaaa hPAna mkuuHahaha nioneshe mguu wako,mana huku kuna mashindano ya kuonesha milonjo
waje waone miguu kama mishikio ya ndoo, wengine miguu Kama mihogo
karibu binafsi nlikumissAsanteh dia, Heri ya mwaka mpya pia
Nilipotea kidogo ila sasahivi tupo pamoja. Niliwamis sana jamani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Limejua kukomaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna ulevi mmbaya kama jf, ukiingia hutokiHv kuna mwenye ujasiri wa kujiunga Jf halaf akalog out milele asiitamani?
Hiyo yote hapanaZiko sexy, wewe unapenda ufito au mhogo?
Mingine sio bia asee ni makopo ya BALTIKA
Asanteh mamiikaribu binafsi nlikumiss
Kuna mguu hapo umewekwa upo kama mhogo, mwingine kama rungu.... hawa watu leo wameamua kutuvunja mbavu na vitu vya ajabuHahah! [emoji23]
Jamani umenifanya nifikirie mhogo ulivyo..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] noma sana huyu akipiga mpira badala uende mbele utapinda kulia utoke kabisa nje ya uwanja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kwa huu mguu nimeamua ku screenshot hii kwato
Unanichekesha sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseeMingine sio bia asee ni makopo ya BALTIKA