Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
UmeonaeeeeHahaha neema za allah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmeonaeeeeHahaha neema za allah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani mie nilicheka mpaka nkakaa chini... Hilo goti atakuwa alianguka aki!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji188][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha
Mie aliniua alipoamua kuuweka juu hapoo
Itabidi nanyie mtupie hyo miguu ya bia tuone hata goti tu freshUmeonaeeee
Nimeyaona mama, nimecheka sana.umeona maguu ya wanaume wa jf??
HahahahaItabidi nanyie mtupie hyo miguu ya bia tuone hata goti tu fresh
Hahaha lenye alama ndo zuriHahahaha
Goti langu liko na alama nilianguka aki
dah kuna miguu humu, asee yangekua matairi basi ni tairi la trekta.Nimeyaona mama, nimecheka sana.
Hadi nimejiangalia mironjo yangu.Umeona lakini mashindano ya miguu? halafu mjilete JF na spana zenyu...lol!
HahahahaHahaha lenye alama ndo zuri
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Eve hurumia mbavu zangu jamani.dah kuna miguu humu, asee yangekua matairi basi ni tairi la trekta.
HahahaHahahaaa!, eti neema za Allah! 😀
Haki nimecheka humu ndani na haya mashindano ya miguu!
Naona vidume wamekuja juu haswaa na bandika ya miguu yao, sio yetu macho tu..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaha
Leo ni wakaka bhana
Kuna watu wana neema si mchezoo!!!!
Kama huyo wa kwenye kochi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
YaaniKhaaa!, jamani yule mpaka vidume wenzake wanapandwa na mdadi...lol!
Sio kwa guu lile aseeh!
Pole mpenzi kumbe tupo wengi twatembelea mikono [emoji26][emoji26][emoji26]Hadi nimejiangalia mironjo yangu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Pole mpenzi kumbe tupo wengi twatembelea mikono [emoji26][emoji26][emoji26]
Mie mejikuta najifunua na kujifunika huku nafanya tathmini je hii miguu yangu ni kweli ni miguu au natembelea mikono.