Mwanaume unapata wapi ujasiri wa kumuoa Mwanamke mrefu kukuzidi?

Anko ni mtu mwema sana na anapendwa sana na warembo.
Ni kipindi hiki ameanza kuzeeka ndio katulia.
So ana mvuto wa aina yake...alikuwa akitafuna sana warembo
Mtu mwema kivipi embu dadavua mkuu πŸ€”

Ana miaka mingapi kwani
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuna dogo ninasoma chuo na A level nilisoma nae ni mbishi kinoma anaongea kama cherehani daah

Aise watu wafupi ni shida kuliko shida yenyewe duuh
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚umenchekesha Yaan hiyo kitu ni kisaikolojia zaidi mtu mfupi always hajiamini ndo maana unakuta anakua mwongeaj sana ujuaj mwingi ubishi
 
Nilichogundua,
Wafupi Wengi hawapend wafup wenzao,
Nna jamaa yangu mfupi sn,sidhan hata 5ft kafika
Ila tangu nimjue, wanawake zake wote ni supertall
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…