Mwanaume Unapotaka kuoa zingatia hizi red flags

Mimi ni baadhi ya pombe sio zote. Wine ndo zinanifanya niwe hivyo. Lakini pia inategemea na mazingira...kama hakuna mtu wa kunila haziji..nakuwa sawa tu
NJOO basi nikukule ili zije
 
Kuna
Kuna demu wangu nilikua nae kitambo xo apo juzi kati nimekutana nae tena dah ile kuingia nae nakuta kavaa shanga kiunoni dah nikamchukua na kwenda kumpima bahati nzuri alikua frexh ila amenikata stimu kabisaa
 
Kwahiyo mtu akiwa na tottoo hapa bongo anakuwa shoga na msagaji?
 
bikra tutawapata wapi
1. Oa mwanamke kwao wazaz wako strict
Basi na wewe utaindeleza ile strict Ness.

2. Hakikisha unamtoa bikira mwenyewe

3. Hakikisha hapendi kukaa bar wala kunywa

4. Hakikisha ni mpole sio domo kaya.

5. Hakikisha anakupenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…