Naweza sana na kila nikioga lazima niiname kujisugua kucha za miguuni na kisigizo nakisugua na jiwe lile jeusi.Hivi huwezi kujisugua mwenyewe? Samahani lakini?
Huwa najiuliza hawa wadau wana mioyo ya aina gani aisee ?Nimekaa nimejiuliza sana lakini jibu linalokuja kichwani ni tofauti na ninayoyaona mtaani.
Rejea kichwa juu. Una mke/mchumba unaweza kumruhusu asuguliwe miguu na kuoshwa kucha na vijana wanaofanya biashara hiyo?
Una mume/ mchumba unaweza kukubali mumeo akafanye massage (kukandwa kandwa) na muhudumu wa kike? (Kumbuka hukandwi ukiwa na nguo zote) na ikiwa hakuna shida je kidume unaweza kukubali kukandwa na kidume mwenzio ili mkeo akwamini kuwa ni massage tu?
Msimamo wangu mimi nakataa hizo biashara zote full stop sababu zitakuja kwenye koment chini.
Naombeni kuwasilisha
😅😅Utahamia huko huko ukafanyiwe kwa muda unaotaka....
Yaani kama nakupenda sio kukuosha kucha tu nakuogesha kabisa na nakupaka mafuta mimi.Woow....!!!
Asantiii [emoji3059].
Kama una haya huwezi kubali.Hata kupaka rangi kucha bila kuosha miguu nayo jau??
Kwani si mnaanzaga hivyo hivyo!Hata kupaka rangi kucha bila kuosha miguu nayo jau??
Kuna akina siye wengine huwa hatudanganywi wala hatupendi kudhuru tuwapendao, nitajua tu na nitampa onyo mara moja asiponisikiliza basi kuna mtu anaemfaa zaidi kumsikiliza ni kheri wakaish pamoja.[emoji23][emoji23][emoji23]sasa utajuaje si anaenda kimya kimya
Hapana, haijawahi nitokea. Nina muda mrefu napaka rangi kwa hao vijana sijawahi hisi lolote.Kama una haya huwezi kubali.
Sema ukweli hupati msisimko ukishikwa vidole na me?
Ni tabia tu ya mtu, mimi napaka rangi huko muda mrefu sijawah patwa na lolote.Kwani si mnaanzaga hivyo hivyo!
Naweza sana na kila nikioga lazima niiname kujisugua kucha za miguuni na kisigizo nakisugua na jiwe lile jeusi.
Issue inakuja kwenye kuchambuliwa kucha, kuminywaminywa miguu na kupakwa rangi/hina.
Kuhudumiwa kuna raha yake.
Kwa mitego hiyo unajikuta unarusha kwanza ki1 kisha zoezi linaendeleaHapo mbona umeniweza.
Ikifika muda tuu nakuita...
Mahabuubaaaa, unyayoo unaniwasha naomba uje unitekenye kucha huku nang’ata vidole na kurembua macho 😅😅
Ukiwa unanihudumia nakutega mitego kama yote huku nakuimbia nyimbo kemkem za matashtiti 😜😜
K’ Mahaba.
Mimi huwa napaka rangi tu, kuosha miguu hapana.Labda hujapata anaepaka na kuosha miguu
Hongera mana nahisi hii michezo ilianzia huko,kutoka kupaka mpaka kuosha miguu kabisa.Mimi huwa napaka rangi tu, kuosha miguu hapana.
Wote napigia hapo hapo kwanza mana sio tabia nzuri,afu wengine wanatembelewa mpaka nyumbani wewe ukiwa kazini mama anaoshwa miguu kwenye sebule yako🤔Siku nimkate huyu mwanaume anayetaka kumsugua mke wangu mguu,atajuta.hayo mambo ya pwani siku watu wa kanda ya ziwa dhubutu tukukamate
Mkuu mi nitamjeruhi siwezi kumuacha salamaWote napigia hapo hapo kwanza mana sio tabia nzuri,afu wengine wanatembelewa mpaka nyumbani wewe ukiwa kazini mama anaoshwa miguu kwenye sebule yako[emoji848]
Bibi zenu waliishije bila kufanyiwa hivyo