Mwanaume unawezaje kuishi kwa amani ukijua kuna mtoto umemtelekeza sehemu?

Mwanaume unawezaje kuishi kwa amani ukijua kuna mtoto umemtelekeza sehemu?

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,074
Imagine mwanaume upo bar unakula bata kama kawaida na kuwalipia marafiki waliokuzunguka pia, lakini kuna sehemu umetelekeza Mtoto damu yako kabisa na hujui anakula nini, anavaa nini anaishije?

Kweli kabisa unaweza kwenda kitandani ukalala usingizi kabisa na huku umetelekeza damu yako? Mwanaume usikubali kwa gharama yeyote kupoteza damu yako bila kujali changamoto za wanawake wakorofi.
 
Wanaume tunakwama tena nakati bila Baba yetu (Me) kuupiga mwingi kwa Mama yetu kipenzi na kubarikiwa huenda wewe ungetupwa chooni kupitia punyeto badala ya kutungwa kijusi na kuja duniani [emoji848][emoji3526]

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Madogo wanaanza mapenzi hata Condom haziwatoshi...

Hawa nao wakitia mimba unadhani watakuwa responsible kweli.!?????

Ni rahisi kuwa Baba mzazi, ila kuwa BABA ni kazi.. Inahitaji muongozo safi, utashi na kukidhi mahitaji - FidQ
 
Walevi wakubw ndo wanatokea kaskazini wanazaa ovyo kama bata kila bar wameacha mtoto mpaka wengine hawawajui
 
Back
Top Bottom