Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Mwambie huyu jamaa naona anaongea tu kipuuzi bila kujua haya mahusiano na Hawa wanawake ni watu wabaya sana na wanatukomoa sana sio Africa tu Dunia nzima wanaume tunakomolewaKwani mwanamke unawezaje kuishi kwa amani wakati umekimbia na mtoto wala hutaki baba yake ajue yuko wapi?