Mwanaume unawezaje kuishi kwa amani ukijua kuna mtoto umemtelekeza sehemu?

Mwanaume unawezaje kuishi kwa amani ukijua kuna mtoto umemtelekeza sehemu?

Imagine mwanaume upo bar unakula bata kama kawaida na kuwalipia marafiki waliokuzunguka pia,lakini kuna sehemu umetelekeza Mtoto damu yako kabisa na hujui anakula nini,anavaa nini anaishije?

Kweli kabisa unaweza kwenda kitandani ukalala usingizi kabisa na huku umetelekeza damu yako!?,wanaume wa kweli tunapatikana mikoa ya kaskazini ni nadra sana kukuta mwanaume wa kanda hii anatelekeza damu yake!

Mwanaume usikubali kwa gharama yeyote kupoteza damu yako bila kujali changamoto za wanawake wakorofi,

Mwanamke akikukazia usichukue mtoto na una uhakika ni damu yako kuwa mpole baada ya miaka mitano pora Mtoto tokomea (jokes)
Mkuu Kuna wanawake pasua kichwa acha kabisa...Kuna bro wangu kazaa na mwanamke wa singida...siku moja kampa 1M kwa ajili ya kutafuta chumba na kulipia maana alisema amechoka kukaa kwao..huwezi amini kesho yake yule mwanamke anampigia jamaa simu anamwambia amtumie 10k ya dalali...jamaa akamwambia hyo 10k toa hapo kwenye 1M ..mwanamke alitokomea kusikojulikana alikuja kuwasiloana na jamaa baada ya miezi sita tena akawa anaomba hela ya matumizi.

Mkuu hakuna mtu anapenda telekeza damu yake ila wakati mwingine watu wanaamua tu kukaa kimya kutokana na makwazo ya waliozaa nao.
 
Imagine mwanaume upo bar unakula bata kama kawaida na kuwalipia marafiki waliokuzunguka pia,lakini kuna sehemu umetelekeza Mtoto damu yako kabisa na hujui anakula nini,anavaa nini anaishije?

Kweli kabisa unaweza kwenda kitandani ukalala usingizi kabisa na huku umetelekeza damu yako!?,wanaume wa kweli tunapatikana mikoa ya kaskazini ni nadra sana kukuta mwanaume wa kanda hii anatelekeza damu yake!

Mwanaume usikubali kwa gharama yeyote kupoteza damu yako bila kujali changamoto za wanawake wakorofi,

Mwanamke akikukazia usichukue mtoto na una uhakika ni damu yako kuwa mpole baada ya miaka mitano pora Mtoto tokomea (jokes)
Mkuu Kuna wanawake pasua kichwa acha kabisa...Kuna bro wangu kazaa na mwanamke wa singida...siku moja kampa 1M kwa ajili ya kutafuta chumba na kulipia maana alisema amechoka kukaa kwao..huwezi amini kesho yake yule mwanamke anampigia jamaa simu anamwambia amtumie 10k ya dalali...jamaa akamwambia hyo 10k toa hapo kwenye 1M ..mwanamke alitokomea kusikojulikana alikuja kuwasiloana na jamaa baada ya miezi sita tena akawa anaomba hela ya matumizi.

Mkuu hakuna mtu anapenda telekeza damu yake ila wakati mwingine watu wanaamua tu kukaa kimya kutokana na makwazo ya waliozaa nao.
 
Imagine mwanaume upo bar unakula bata kama kawaida na kuwalipia marafiki waliokuzunguka pia, lakini kuna sehemu umetelekeza Mtoto damu yako kabisa na hujui anakula nini, anavaa nini anaishije?

Kweli kabisa unaweza kwenda kitandani ukalala usingizi kabisa na huku umetelekeza damu yako? Mwanaume usikubali kwa gharama yeyote kupoteza damu yako bila kujali changamoto za wanawake wakorofi.
Hata mimi uwa najiuliza samw question
 
Mi mwenyewe siku si nyingi natelekeza watoto wangu ,maana mama yao anatengeneza mazingira ya kunitenganisha na watoto Wangu,nimevumilia nimechoka so bora nimwache aishi anavyotaka, hao watoto wakikua watanitafuta.
 
Mi mwenyewe siku si nyingi natelekeza watoto wangu ,maana mama yao anatengeneza mazingira ya kunitenganisha na watoto Wangu,nimevumilia nimechoka so bora nimwache aishi anavyotaka, hao watoto wakikua watanitafuta.
Mkuu hii dunia ina baadhi ya wanawake wa ajabu acha kabisa....unafanya kila kitu ila mwanamke hathamini sijui huwa wanadhani sisi ndo tumewazaa???hata sijui.

Eti wanatishia kuwa Hawa watoto watakuja kukuchukia maana nitawaeleza ubaya wote uliokuwa unanifanyia mama yao...anashindwa kuelewa kuwa wakiwa watu wazima nao watakuwa na akili zao za kuchanganua Mambo.

Mm nina kisa Cha kweli kabisa...mama mmoja alikuwa hataki kabisa baba wa watoto awe na ukaribu na watoto zake ingawa baba alikuwa anafanya kila awezalo ili awe karibu na watoto ila anawekewa vikwazo kibao. Wakati watoto wakiwa kwenye teen age walikuwa wanamchukia baba yao vibaya mno...ila walipofika mid 20s na wengine wakiwa early 30s aisee huwezi amini walimbadilikia mama yao hakuna mtu aliamini macho yake..Tena mbaya zaidi wale wa kike wakawa wanamwambia mama yao alikuwa anamnyanyasa baba yao maana alikuwa mwingi wa wanaume. Hiki kisa kirefu Sana ila mtaa mzima walidhani wale watoto wamelogwa kwa jinsi ambavyo walimbadilikia mama yao.

Kazi ikawa kwa mzee Sasa kuwashawishi watoto wasimwonyesha mama yao chuki ya wazi wazi.

Mkuu hii dunia inazunguka watu hawajui tu.
 
Mkuu hii dunia ina baadhi ya wanawake wa ajabu acha kabisa....unafanya kila kitu ila mwanamke hathamini sijui huwa wanadhani sisi ndo tumewazaa???hata sijui.

Eti wanatishia kuwa Hawa watoto watakuja kukuchukia maana nitawaeleza ubaya wote uliokuwa unanifanyia mama yao...anashindwa kuelewa kuwa wakiwa watu wazima nao watakuwa na akili zao za kuchanganua Mambo.

Mm nina kisa Cha kweli kabisa...mama mmoja alikuwa hataki kabisa baba wa watoto awe na ukaribu na watoto zake ingawa baba alikuwa anafanya kila awezalo ili awe karibu na watoto ila anawekewa vikwazo kibao. Wakati watoto wakiwa kwenye teen age walikuwa wanamchukia baba yao vibaya mno...ila walipofika mid 20s na wengine wakiwa early 30s aisee huwezi amini walimbadilikia mama yao hakuna mtu aliamini macho yake..Tena mbaya zaidi wale wa kike wakawa wanamwambia mama yao alikuwa anamnyanyasa baba yao maana alikuwa mwingi wa wanaume. Hiki kisa kirefu Sana ila mtaa mzima walidhani wale watoto wamelogwa kwa jinsi ambavyo walimbadilikia mama yao.

Kazi ikawa kwa mzee Sasa kuwashawishi watoto wasimwonyesha mama yao chuki ya wazi wazi.

Mkuu hii dunia inazunguka watu hawajui tu.
Mi kadri siku zinavyozidi kwenda mbele nazidi kupata sononeko moyoni,napata lawama nyingi ,nimegundua sitakiwi na mama yao sina namna sababu zinazotolewa ni minor sana nimejaribu sana kuweka mazingira sawa nimekata tamaa ,sieleweki, mwanamke kaiaminisha jamii mi mbaya. Unafanyaje sasa ni kujitenga tu usiikwaze jamii.
 
Hili jambo la wanaume kutelekeza watoto wao linasababishwa na mambo mengi lakini chanzo kikubwa ni mama za hao watoto. Wanawake wengine ni wakorofi,vichwa maji,dharau na viburi kwa wanaume zao. Sasa katika kuwakomoa wanaume wengi huamua kuondoka pasina kuaga wala nini na kwenda kuoa wanawake wengine.

Juzikati nilikuwa naongea na mwalimu mmoja wa msingi anao watoto wawaili na kila mtoto ana baba yake. Analalamika walimtelekezea watoto wote wawili yeye ndo anahangaika nao. Katika mazungumzo nikagundua ni mkorofi maana anasema yeye hawezi kumbembeleza mtu hata iweje kwani anajiweza. Sasa kama ndo lugha alikuwa anawaambia hao wazazi wenzie nani angemvumilia? Ni kweli kuna mazingira wanaume tuna makosa lakini wadada na nyie jinyenyekezeni kwa waume zenu.
 
Mi kadri siku zinavyozidi kwenda mbele nazidi kupata sononeko moyoni,napata lawama nyingi ,nimegundua sitakiwi na mama yao sina namna sababu zinazotolewa ni minor sana nimejaribu sana kuweka mazingira sawa nimekata tamaa ,sieleweki, mwanamke kaiaminisha jamii mi mbaya. Unafanyaje sasa ni kujitenga tu usiikwaze jamii.
Ndo kawaida yao hao...unakuta sababu wanazotoa wala hazina mashiko yoyote, kibaya zaidi jamii inawaamini na kuwapa kichwa...na hapo isikute Kuna ndugu zake au ndugu zako wa karibu ndo wanainginia Mambo yawe yalivyo.

Mkuu pole sana ukiona mambo yanazidi kuwa magumu afadhali tu kujiweka pembeni maana ukilazimisha Sana yanaweza kutokea ambayo utajutia maisha yako yote.
 
Hili jambo la wanaume kutelekeza watoto wao linasababishwa na mambo mengi lakini chanzo kikubwa ni mama za hao watoto. Wanawake wengine ni wakorofi,vichwa maji,dharau na viburi kwa wanaume zao. Sasa katika kuwakomoa wanaume wengi huamua kuondoka pasina kuaga wala nini na kwenda kuoa wanawake wengine.

Juzikati nilikuwa naongea na mwalimu mmoja wa msingi anao watoto wawaili na kila mtoto ana baba yake. Analalamika walimtelekezea watoto wote wawili yeye ndo anahangaika nao. Katika mazungumzo nikagundua ni mkorofi maana anasema yeye hawezi kumbembeleza mtu hata iweje kwani anajiweza. Sasa kama ndo lugha alikuwa anawaambia hao wazazi wenzie nani angemvumilia? Ni kweli kuna mazingira wanaume tuna makosa lakini wadada na nyie jinyenyekezeni kwa waume zenu.
Mkuu Wala hata hatutaki watunyenyekeee....sisi tunataka watuheshimu tu inatosha.
 
Imagine mwanaume upo bar unakula bata kama kawaida na kuwalipia marafiki waliokuzunguka pia, lakini kuna sehemu umetelekeza Mtoto damu yako kabisa na hujui anakula nini, anavaa nini anaishije?

Kweli kabisa unaweza kwenda kitandani ukalala usingizi kabisa na huku umetelekeza damu yako? Mwanaume usikubali kwa gharama yeyote kupoteza damu yako bila kujali changamoto za wanawake wakorofi.
Kwani mwanamke unawezaje kuishi kwa amani wakati umekimbia na mtoto wala hutaki baba yake ajue yuko wapi?
 
Walevi wakubw ndo wanatokea kaskazini wanazaa ovyo kama bata kila bar wameacha mtoto mpaka wengine hawawajui
Na hata wanawake wa upande huo ni hivyo hivyo pia, sijui wana nini hawa Ng'ombe
 
Ndo kawaida yao hao...unakuta sababu wanazotoa wala hazina mashiko yoyote, kibaya zaidi jamii inawaamini na kuwapa kichwa...na hapo isikute Kuna ndugu zake au ndugu zako wa karibu ndo wanainginia Mambo yawe yalivyo.

Mkuu pole sana ukiona mambo yanazidi kuwa magumu afadhali tu kujiweka pembeni maana ukilazimisha Sana yanaweza kutokea ambayo utajutia maisha yako yote.
Daaah[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom