Wanawake wenyewe ndio chanzo chakutelekezewa mtoto.wanaume wengi hawapendi sana malumbano yasiyo na maana kwahiyo kama umezaa na mtu alafu anakuja kukuletea kelele mtu unaona bora ukae zako pembeni kiroho safi.Haya mambo naamini sio wanaume wote wanafanya kwa makusudi ila inawalazimu.