Leo mahsusi kwa wanaume,
Usije kujaribu kuwekeza pesa , akili , muda kwa mwanamke ni kosa kubwa unafanya,
Mwanamke toka anaumbwa Hana roho ya kuridhika na hatokuja kua na roho ya kuridhika,
Kwenye 10 utapata mmoja au asiwepo kabisa , na hii ni mwanamke awe mfanyabiashara, mkulima, Msomi, yaani wewe waweke kundi moja ili siku mambo yakiharibika usije kujiua bure,
Tunawakumbusha hata mke wako ndani anacheat kama kawaida lakini anafanya Siri Tu usijue na hacheat na mtu mmoja anao wengi kuliko unavifikiria,
Roho ya kuridhika kwa mwanamke hua haipo milele , na hilo sahau kwa sababu yeye ni mtu wa kujaribu vitu hadi anakufa,
Angalizo , mwanamke mwenye 40+ huyu asikusumbue maana Hana muda akifika 50 anaanza katafuta yeye nani amstiri hii kwa vijana mnaokimbilia single mother na wajane waacheni hao Wana dunia yao hua inawasubiri kuwatesa na hua wanajuta mwishoni.
Huo ni ushauri kwa vijana wa Leo chukua bure itakusaidia.
Usije kujaribu kuwekeza pesa , akili , muda kwa mwanamke ni kosa kubwa unafanya,
Mwanamke toka anaumbwa Hana roho ya kuridhika na hatokuja kua na roho ya kuridhika,
Kwenye 10 utapata mmoja au asiwepo kabisa , na hii ni mwanamke awe mfanyabiashara, mkulima, Msomi, yaani wewe waweke kundi moja ili siku mambo yakiharibika usije kujiua bure,
Tunawakumbusha hata mke wako ndani anacheat kama kawaida lakini anafanya Siri Tu usijue na hacheat na mtu mmoja anao wengi kuliko unavifikiria,
Roho ya kuridhika kwa mwanamke hua haipo milele , na hilo sahau kwa sababu yeye ni mtu wa kujaribu vitu hadi anakufa,
Angalizo , mwanamke mwenye 40+ huyu asikusumbue maana Hana muda akifika 50 anaanza katafuta yeye nani amstiri hii kwa vijana mnaokimbilia single mother na wajane waacheni hao Wana dunia yao hua inawasubiri kuwatesa na hua wanajuta mwishoni.
Huo ni ushauri kwa vijana wa Leo chukua bure itakusaidia.