Mwanaume usije kumpa zawadi au kitu mwanamke ukasema ataridhika, awe kasoma au hajasoma wote akili yao ni moja

Mwanaume usije kumpa zawadi au kitu mwanamke ukasema ataridhika, awe kasoma au hajasoma wote akili yao ni moja

k
Kuna kitabu kinaitwa understand the power and purpose of women ukisoma kile kitabu utapata introduction kidogo ya wanawake walivyo.

Kinasema kwamba mwanamke mshipa wake wa ufahamu umeungana na mshipa wake wa hisia wakati mwanaume wa kwake ni separate.

Lakini pia mwandishi anasema tangia dunia iumbwe hitaji la mwanamke linabadilik kila mwaka au kila karne ila hitaji la mwanaume tangia dunia ianze ni lile haliwahi kubadilika.

Ndio maana mwanamke ni multi purpose anaweza akapika akafua akalea mtoto kwa wakati mmoja ila mwanaume hawezi kwasababu mwanamke anafanya kitu halafu ndio anafikiria ila mwanamke anafikiria halafu ndio ana take action.

Men are logical thinker while women are emotional feeler.

Ndio maana wanawake wanasema eti naringa sishobokei demu wala malaya yoyote na kuacha ni sekunde tu nikupe hela nikuhudumie halafu unipe stress sio mimi I don't care.

NB:huwezi kumridhisha mwanamke.
kuna kitabu kingine kinaitwa man is from mars and women is from venus sijakisoma, ila wanawake ni kuishi nao kwa akili nyingi sana ukielemewa na hisia ndo utajua haujui.
 
Na sku izi wana neno moja zuri sana wanasema” Mwanaume mwenyewe hana nguvu za kiume
Sabu anajua akisema ulikua humtunzi watamshangaa sabu matunzo yanaonekana ila nguvu za kiume ni nani ataweza bisha ama kukutetea

Umekaa na mwanamke miaka 10 mmezaa watoto 2/3/4 sku anakuchit ukimshika na kumpeleka kwa ukoo au familia yake mkayajadili anajua kbsa akisema ulikua humtunzi mtashangaa sabu matunzo huonekana nguo, simu,gar pesa, matunzo yanaonekana ila akisema huna nguvu za kiume ni nani anaweza bisha je ni nani anaweza prove km ni uongo au kwel
 
k

kuna kitabu kingine kinaitwa man is from mars and women is from venus sijakisoma, ila wanawake ni kuishi nao kwa akili nyingi sana ukielemewa na hisia ndo utajua haujui.
Hicho pia nimekisoma japo kinazungumzia zaidi maisha ya mahusiano kati ya mwanamke na mwanaume ila kile cha Myles munroe understand the power and purpose of the women kipo vizuri sana.
 
Hicho pia nimekisoma japo kinazungumzia zaidi maisha ya mahusiano kati ya mwanamke na mwanaume ila kile cha Myles munroe understand the power and purpose of the women kipo vizuri sana.
Mwanamke unatakiwa usimuhurumie kwa lolote, ujue yeye deep down Hana huruma na wewe, mpaka kifo chake hatokuja kukuhudumia zaidi ataangalia maslahi yake kwako
 
Batazar kazua balaaa!! yataibuka mengi had tumemsahau pididii.
 
Leo mahsusi kwa wanaume,
Usije kujaribu kuwekeza pesa , akili , muda kwa mwanamke ni kosa kubwa unafanya,
Mwanamke toka anaumbwa Hana roho ya kuridhika na hatokuja kua na roho ya kuridhika,
Kwenye 10 utapata mmoja au asiwepo kabisa , na hii ni mwanamke awe mfanyabiashara, mkulima, Msomi, yaani wewe waweke kundi moja ili siku mambo yakiharibika usije kujiua bure,
Tunawakumbusha hata mke wako ndani anacheat kama kawaida lakini anafanya Siri Tu usijue na hacheat na mtu mmoja anao wengi kuliko unavifikiria,
Roho ya kuridhika kwa mwanamke hua haipo milele , na hilo sahau kwa sababu yeye ni mtu wa kujaribu vitu hadi anakufa,
Angalizo , mwanamke mwenye 40+ huyu asikusumbue maana Hana muda akifika 50 anaanza katafuta yeye nani amstiri hii kwa vijana mnaokimbilia single mother na wajane waacheni hao Wana dunia yao hua inawasubiri kuwatesa na hua wanajuta mwishoni.
Huo ni ushauri kwa vijana wa Leo chukua bure itakusaidia.
Hawezi kwepa hivyo vyote vinataka kumkojolea hata umpe nini
 

Attachments

  • IMG_20241107_174011.jpg
    IMG_20241107_174011.jpg
    226.7 KB · Views: 2
itoshe kusema,tunawavuruga sana in real life,ila humu wanajitutumua tu....

Nb: na badooooooo😂
Ndio maana nasisi tunawavunja maduka bila huruma
 

Attachments

  • IMG_20241107_114109.jpg
    IMG_20241107_114109.jpg
    222.5 KB · Views: 2
Back
Top Bottom