Mwanaume usije thubutu kutembea na mke wa mtu

Umetumia kiungo gani kufikiria ukitoa kichwa cha juu na cha chini mkuu…???
Haya mambo ni kweli, mi hata kama mwanamke zamani alikua mpenzi wangu,akiolewa tu sipigi tena! Sema ninae mmoja huyo ananisumbua hadi kesho, na ni mke wa mtu na kanizalia hadi mtoto, lakini sitaki kupiga tena, nafsi inanusta sana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…