Mwanaume usije thubutu kutembea na mke wa mtu

Mwanaume usije thubutu kutembea na mke wa mtu

Wanawake wa kuwekana wapo kibao mjini, yaani ni wewe tu leo-kesho upo lodge unashusha g-string(manake miaka hii hakuna pichu). Tumia akili ya kiume kumkataa ili asiathiri biashara yako.
 
Wanawake wa kuwekana wapo kibao mjini, yaani ni wewe tu leo-kesho upo lodge unashusha g-string(manake miaka hii hakuna pichu). Tumia akili ya kiume kumkataa ili asiathiri biashara yako.
Akili ya kiume 📌
 
Dadeq, 🔥🔥 kaingia mzima mzima


Nakazia Mdigokhan mke wa mtu ni sumu, kutembea nae huo mkosi hautaufuta, mpotezee mwanetu. Chukua muda kidogo kuvaa viatu vya huyo jamaa kama ingekuwa ni wewe mke wako kuna jamaa anatoka nae
 
Dadeq, 🔥🔥 kaingia mzima mzima


Nakazia Mdigokhan mke wa mtu ni sumu, kutembea nae huo mkosi hautaufuta, mpotezee mwanetu. Chukua muda kidogo kuvaa viatu vya huyo jamaa kama ingekuwa ni wewe mke wako kuna jamaa anatoka nae
Nakubali broo..!!
 
Ni mtihani mzito kwa sababu anakusaidia kibiashara. Na hulka ya binadamu ilivyo ukimkataa laziama atetemeshe biashara ipate tetemeko.
La msingi ushauri wangu kwanza usimle. Suala la pili mtafute mume wake mchane mueleze azma yako ya kutotaka kumchapia mke wake lakini upande mwingine athari unazohofia kupata kibiashara kwa kuendelea kumkataa kisha muombe mfanye mpango iwe kama jamaa anawafumania. Namna hiyo ni rahisi kusitisha hadithi ya kukutaka bila kuathiri suala la biashara.
Yaani hapa na wewe unajiona umetoa ushauri?
 
Heading unatwambia kwenye harakati za uanaume tusile wake za watu, content unatuhadithia wewe usivotaka kumla huyo mke wa mtu... Ungetupa na sababu kwanini sisi tusile, au kula wewe halafu likukute la kukukuta uje utuhadithie wamekufanya nini na sisi ndo tuogope 😂😂
 
Wanawake wa kuwekana wapo kibao mjini, yaani ni wewe tu leo -kesho upo lodge unashusha g-string(manake miaka hii hakuna pichu). Tumia akili ya kiume kumkataa ili asiathiri biashara yako.
Mle tu bhana,walau ONE FOR THE ROAD.
 
[/USER] na
Ni mtihani mzito kwa sababu anakusaidia kibiashara. Na hulka ya binadamu ilivyo ukimkataa laziama atetemeshe biashara ipate tetemeko.

La msingi ushauri wangu kwanza usimle. Suala la pili mtafute mume wake mchane mueleze azma yako ya kutotaka kumchapia mke wake lakini upande mwingine athari unazohofia kupata kibiashara kwa kuendelea kumkataa kisha muombe mfanye mpango iwe kama jamaa anawafumania. Namna hiyo ni rahisi kusitisha hadithi ya kukutaka bila kuathiri suala la biashara.
Aisee bro are you serious bomu atakalolitengeneza hapo unalielewa? Hapo watagombana wote watatu na ataharibu kote kuliko ulivyofikiria
 
Screenshot_20240425-182937_1.jpg

Ningeongea kitu ila ngoja nitulie
😂😂😂😂
cocastic
 
Back
Top Bottom