Mwanaume usije thubutu kutembea na mke wa mtu

Wanawake wa kuwekana wapo kibao mjini, yaani ni wewe tu leo-kesho upo lodge unashusha g-string(manake miaka hii hakuna pichu). Tumia akili ya kiume kumkataa ili asiathiri biashara yako.
 
Wanawake wa kuwekana wapo kibao mjini, yaani ni wewe tu leo-kesho upo lodge unashusha g-string(manake miaka hii hakuna pichu). Tumia akili ya kiume kumkataa ili asiathiri biashara yako.
Akili ya kiume πŸ“Œ
 
Dadeq, πŸ”₯πŸ”₯ kaingia mzima mzima


Nakazia Mdigokhan mke wa mtu ni sumu, kutembea nae huo mkosi hautaufuta, mpotezee mwanetu. Chukua muda kidogo kuvaa viatu vya huyo jamaa kama ingekuwa ni wewe mke wako kuna jamaa anatoka nae
 
Dadeq, πŸ”₯πŸ”₯ kaingia mzima mzima


Nakazia Mdigokhan mke wa mtu ni sumu, kutembea nae huo mkosi hautaufuta, mpotezee mwanetu. Chukua muda kidogo kuvaa viatu vya huyo jamaa kama ingekuwa ni wewe mke wako kuna jamaa anatoka nae
Nakubali broo..!!
 
Yaani hapa na wewe unajiona umetoa ushauri?
 
Heading unatwambia kwenye harakati za uanaume tusile wake za watu, content unatuhadithia wewe usivotaka kumla huyo mke wa mtu... Ungetupa na sababu kwanini sisi tusile, au kula wewe halafu likukute la kukukuta uje utuhadithie wamekufanya nini na sisi ndo tuogope πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wanawake wa kuwekana wapo kibao mjini, yaani ni wewe tu leo -kesho upo lodge unashusha g-string(manake miaka hii hakuna pichu). Tumia akili ya kiume kumkataa ili asiathiri biashara yako.
Mle tu bhana,walau ONE FOR THE ROAD.
 
[/USER] na Aisee bro are you serious bomu atakalolitengeneza hapo unalielewa? Hapo watagombana wote watatu na ataharibu kote kuliko ulivyofikiria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…