Mwanaume usije thubutu kutembea na mke wa mtu

Ni kheri upoteze wateja sasa hivi akiwemo yeye na hao aliokuletea kuliko gharama kubwa sana utayokuja kulipa mbele siku zijazo.

Huwa najiulizaga kwa nn mnahangaika na wake za watu? Vyuo vikuu vimejaza wanawake wazuri sana wenye umri wa miaka 20~24.
 
Kwa mwanaume mwenye akili timamu yaani afya ya akili ipo sawa, ukifikiria maumivu atayoyapata mwanaume mwenzio kuwa kugundua umetembea na mke wake , asikwambie mtu hayo maumivu huwa ni makali sanaaaa hayasimuliki wala kuelezeka, madhara utayosababisha kwenye familia ya mwenzako utasababisha mauaji, uchumi wa familia kuyumba au kupoteza kabisa, kutengana watoto kupoteza dila ya maisha kiufupi utabomoa nyumba ya mwenzako kwenye kila idara, LAANA YAKE ITAKUTAFUNA WEWE NA VIZAZI VYAKO VYOTE KAMA SIO LEO HATA KESHO, kijana mwenzangu kimbia[emoji125] usigeuke nyuma mke wa mtu hana sababu au utetezi wowote wa kukufanya utembee naye, mwisho kabisa vaa viatu vya maumivu atayoyapata mwanaume mwenzio, kijana mwenzangu kwa uchungu kabisa nakwambia yale maumivu yanaumiza sana,
 
Mke wa mtu ni mtamu ila jiandae kipigo kama hichi
 

Attachments

  • VID-20240501-WA0003.mp4
    14.4 MB
Huu uzi umekaa ki kupikwa pikwa tu. Yaani kama movie, dem akatoka kama nusu saa, akaja jamaa akaijua gari, akanifungukia. Yaan mtu muonane leo leo afinguke mambo kibaao. Chai
 
Huu uzi umekaa ki kupikwa pikwa tu. Yaani kama movie, dem akatoka kama nusu saa, akaja jamaa akaijua gari, akanifungukia. Yaan mtu muonane leo leo afinguke mambo kibaao. Chai
Upo KATAVI mkuu..??Njoo kinondoni,Magomeni uone Vijana wanavoishi kwa kuungaunga Kwa maneno hata kama ndio kakuona leo..
 
📌📌
 
Daaah!!!
Si umesema unamsimamo halafu unauliza nini!!!! Pesa ni hatari maishani..
Sikia binti,Licha ya kuwa ni dhambi ambayo wengi wanaifanya hata mimi naweza ifanya cuz adhabu yake sio leo ila nawaza maumivu ya huyu mumewe Ambayo atayabeba,Nawaza Jinsi nitakavosambaratisha familia kwa upuuzi wangu..!!Sijui umenielewa bibie..
 
Upo KATAVI mkuu..??Njoo kinondoni,Magomeni uone Vijana wanavoishi kwa kuungaunga Kwa maneno hata kama ndio kakuona leo..
😂😂😂😂😂😂 ili umpe ten ya shisha sio sawa mkuu nimekubali uzi ni kweli na kwetu tupu😂🙌🏾🙌🏾
 
Mlio oa m focus kwenye kuitafuta kesho iliyo njema kwa familia zenu, haya mengine yasiwaumize vichwa, wanawake hawasomeki siku hizi.
 
Piga mzigo wengine waume zao mnara hausomi 4G wa sukari na waume zao huwaruhusu wapige mzigo.
 
Piga mzigo wengine waume zao mnara hausomi 4G wa sukari na waume zao huwaruhusu wapige mzigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…