Mwanaume usikose silaha nyumbani kwako au popote unapokuwa

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Sisi watu wa Kanda ya Ziwa, hili somo tunalifundishwa tangu utotoni.
Unatembea na simu nne, wallet, kipegi, pafyumu, kondomu — lakini huna hata kisu!
Kwa mwanaume, silaha ni lazima. Kujihami na kushinda ni lazima.

Sio kidume unatekwa, na watekaji wanatoka wananukia pafyumu. Lazima upasue mtu, umwage utumbo, ukate shingo. Mimi binafsi sijabahatika kumiliki silaha ya moto, lakini niko kwenye mchakato wa kuipata, iwe kihalali au kiharamu.

Kwa sasa, ninazo silaha za kutosha — majambia, mikuki, marungu, visu, na kadhalika. Popote nilipo, lazima beto iwe kiuononi kwenye mkanda na haikosagi. Huu utekaji umekuwa kama fashion siku hizi, kwa hiyo nawatahadharisha watekaji. Wakija kuniteka, lazima mmoja wao aimbe parapanda.

Mwanaume, popote ulipo, uko vitani, na silaha ni lazima kwa mwanajeshi.
 
Kumiliki silaha ni jambo la kwanza na kuweza kuitumia kwa umahiri na kwa usahihi ni jambo la pili.. Kwakuwa usipokuwa makini silaha yako mwenyewe inaweza kutumika kutoa uhai wako
 
Kumiliki silaha ni jambo la kwanza na kuweza kuitumia kwa umahiri na kwa usahihi ni jambo la pili.. Kwakuwa usipokuwa makini silaha yako mwenyewe inaweza kutumika kutoa uhai wako
Hakika silaha laZima ujue kunitumia vyema
 
Unajua kutumia hata hicho kisu kwa usahihi?
Ila kuwa makini usije kuua kirahisi
 
Izo silaha tangu uwe nazo zimeshawah kukusaidia mahali.
 
Uko sahihi kabisa nilikuwa nashangaa wale panya rod ishirini wanaingia na mapanga hata hayakati wanapiga mtaa mzima. Waende hata kitunda tu wafurahie shoo
 
Ndugu zangu anaehitaji kuja kutalii Zanzibar anitafute ndugu zangu

Kwa maelezo zaidi tutafutane tuongee kirafiki zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…