ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Sisi watu wa Kanda ya Ziwa, hili somo tunalifundishwa tangu utotoni.
Unatembea na simu nne, wallet, kipegi, pafyumu, kondomu — lakini huna hata kisu!
Kwa mwanaume, silaha ni lazima. Kujihami na kushinda ni lazima.
Sio kidume unatekwa, na watekaji wanatoka wananukia pafyumu. Lazima upasue mtu, umwage utumbo, ukate shingo. Mimi binafsi sijabahatika kumiliki silaha ya moto, lakini niko kwenye mchakato wa kuipata, iwe kihalali au kiharamu.
Kwa sasa, ninazo silaha za kutosha — majambia, mikuki, marungu, visu, na kadhalika. Popote nilipo, lazima beto iwe kiuononi kwenye mkanda na haikosagi. Huu utekaji umekuwa kama fashion siku hizi, kwa hiyo nawatahadharisha watekaji. Wakija kuniteka, lazima mmoja wao aimbe parapanda.
Mwanaume, popote ulipo, uko vitani, na silaha ni lazima kwa mwanajeshi.
Unatembea na simu nne, wallet, kipegi, pafyumu, kondomu — lakini huna hata kisu!
Kwa mwanaume, silaha ni lazima. Kujihami na kushinda ni lazima.
Sio kidume unatekwa, na watekaji wanatoka wananukia pafyumu. Lazima upasue mtu, umwage utumbo, ukate shingo. Mimi binafsi sijabahatika kumiliki silaha ya moto, lakini niko kwenye mchakato wa kuipata, iwe kihalali au kiharamu.
Kwa sasa, ninazo silaha za kutosha — majambia, mikuki, marungu, visu, na kadhalika. Popote nilipo, lazima beto iwe kiuononi kwenye mkanda na haikosagi. Huu utekaji umekuwa kama fashion siku hizi, kwa hiyo nawatahadharisha watekaji. Wakija kuniteka, lazima mmoja wao aimbe parapanda.
Mwanaume, popote ulipo, uko vitani, na silaha ni lazima kwa mwanajeshi.