OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kupitiliza bafuni unanuniwa. Usipopitiliza unakuja kunuswa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama K-9 mbwa wa polisi wale.Kupitiliza bafuni unanuniwa. Usipopitiliza unakuja kunuswa
Ni mwendo wa kuita warembo mlimani city unawapiga pizza na burger huyooo mdoo mdoo unaenda kuwaunganisha kwenye grid ya taifaNakukumbusha, kontena jipya linakuja bado week 2.
Tukutane mitaa ya Magufuli na Mabibo hostel
Mbinguni tunapewa miili mipya. Hii tuitumieeeNi mwendo wa kuita warembo mlimani city unawapiga pizza na burger huyooo mdoo mdoo unaenda kuwaunganisha kwenye grid ya taifa
Hilo ni tatizo, vitoto miyeyusho sana, unaweza kulazimika kutumia midawa ya miguvu ili ukaridhishe ukapata heart attack, vitoto nuksiTusijisikie burudani na raha kivipi? Kwani kuna mtu alinichagulia? Mnaoa vitoto halafu mkitangulia kufa ndugu zenu waseme mmeuawa na wake zenu? Unaoa kitoto kina miaka 17 wewe una miaka 49 unategemea nini hapo?
Badilisha mtazamo huo.
Ewaaa! Hamana faida ya kuzika ukiwa na moyo, figo ini yote in proper working condition.Mbinguni tunapewa miili mipya. Hii tuitumieee
Yes it is possible, ishu ni majanga kwenye hiyo ndoa.Ukifikisha miaka 60 unakuwa Una miaka 10 ya kuishi
Then ndo MTU unahangaika kuoa.
Maisha MTU unabidi kuishi to the fullest ilimradi usivunje mipaka ya MTU mwingine .
Unaweza kuwa na 30 ukaoa mwenye 50 it is possible
Mkuu ukilenga kuridhisha mwanamke hutaweza utakufa bure wefanya unacho weza pata mke mnae endana ukiwa 35 tafuta wa 25, huyu utamweza, ila usitafute mzee wa 38, itakula kwa ko wanachoka mapema sanaa.Hilo ni tatizo, vitoto miyeyusho sana, unaweza kulazimika kutumia midawa ya miguvu ili ukaridhishe ukapata heart attack, vitoto nuksi
Mtihani sana sheikhe kuoa kitoto.Muongo wa tano huu mimi nioe kitoto cha af mbili kweli?Nasty!Hilo ni tatizo, vitoto miyeyusho sana, unaweza kulazimika kutumia midawa ya miguvu ili ukaridhishe ukapata heart attack, vitoto nuksi
Kaka usilete ishu za Mungu katika suala ambalo unatakiwa ulifanyie maamuzi na una uwezo halo. Ukiweza fata wazee wakueleweshe haya mambo, masuala ya kufunga na kuomba kwa Mwamposa yamejaa manyang'au ukiyaona unaona Mke kabisa, kumbe hamna kituInshu ni kumtumaini Mungu TU naye atatengeneza njia,,Usitegemee akili zako
Utakuja kupata kiharusi bureMtihani sana sheikhe kuoa kitoto.Muongo wa tano huu mimi nioe kitoto cha af mbili kweli?Nasty!
Wallah naipenda miguu yangu.Kuzurula ni sunna.Utakuja kupata kiharusi bure
Ndio ni kuliridhisha unadhani ni kula mavazi na watoto pekee?! Kaka, tatizo tushatolewa nje ya mfumo, mafundisho ya ndoa church ni wenge tu, tulitakiwa tuelekezwe jinsi ya kuliridhisha litulizane. Hayatokagi nje kufata hela yanatokaga kufata mashine tuMkuu ukilenga kuridhisha mwanamke hutaweza utakufa bure wefanya unacho weza pata mke mnae endana ukiwa 35 tafuta wa 25, huyu utamweza, ila usitafute mzee wa 38, itakula kwa ko wanachoka mapema sanaa.
Mkuu hujanielewa mada yangu kama wewe ni wa 2000 oa cha 2000. Ila kama wewe ni wa miaka ya 90s kwanini uoe wa miaka ya 80s? hiyo ndo time bomb, labda kama wa kupita tu au unatafuta maokoto kwake ila ikiwa kwa ndoa hiyo ni kujitafutia ugomvi wa badaye.Mtihani sana sheikhe kuoa kitoto.Muongo wa tano huu mimi nioe kitoto cha af mbili kweli?Nasty!
Hii King Mswati ataipinga kwa evidence kabisaTusijisikie burudani na raha kivipi? Kwani kuna mtu alinichagulia? Mnaoa vitoto halafu mkitangulia kufa ndugu zenu waseme mmeuawa na wake zenu? Unaoa kitoto kina miaka 17 wewe una miaka 49 unategemea nini hapo?
Badilisha mtazamo huo.