Mwanaume usikosee kuoa mwanamke mnayepishana mwaka mmoja, miwili hadi mitano; hiyo ni time bomb

Mwanaume usikosee kuoa mwanamke mnayepishana mwaka mmoja, miwili hadi mitano; hiyo ni time bomb

Mkuu hujanielewa mada yangu kama wewe ni wa 2000 oa cha 2000. Ila kama wewe ni wa miaka ya 90s kwanini uoe wa miaka ya 80s? hiyo ndo time bomb, labda kama wa kupita tu au unatafuta maokoto kwake ila ikiwa kwa ndoa hiyo ni kujitafutia ugomvi wa badaye.
Mashaallah. Mimi ni wa 70's.I'm married to my partner in crimes wa 70's and we are still strong.
 
Kaka usilete ishu za Mungu katika suala ambalo unatakiwa ulifanyie maamuzi na una uwezo halo. Ukiweza fata wazee wakueleweshe haya mambo, masuala ya kufunga na kuomba kwa Mwamposa yamejaa manyang'au ukiyaona unaona Mke kabisa, kumbe hamna kitu
Sawa sijataja neno mwamPosa hapa,Swala lolote ukitaka upige hatua ni maandalizi na Imani ndipo unatoboa.....

Mungu ndiye anajua yote,Yaani unaweza kaa na mtu akakuigizia maisha Asilimia 100 ukasema sindo huyu ,ila ukimtuaini Mungu anakuonyesha pia hapa hapana au bado mda wako n.k .Mwanadamu usitegemee akili zako mwenyewe
 
Wanaume wengi tunafunikwa na emotions/mihemko ya mapenzi na kukosea kuchagua, huwezi kuoa mtu mnae lingana umri na ukafikiri ndoa hiyo itakuwa na usalama labda kama lengo la ndoa yako ni tofauti na malengo ya ndoa inaojulikana.

Ukiwa na umri wa miaka 50 na mkeo iko 50 unajisikia kama umelala na mama mkwe wako kitandani, mwanamke wakifikia miaka 45 na kuendelea hubadilika kimaumbile na kifkra akili zao huhamia kwenye survival yao na watoto wanakua sexual inactive, hana jipya tena na wivu ndo unaongezeka 'women are too territorial' na age ya 45 to 60 wanaume ndio wameingia climax yao katika conjugal relations.

Madhara ya hayo yote ni dharau kugombana na ndoa kuvunjika, we mwanaume usioe mwanamke mzee kwa usalama wako wa badaye.
In contrary ukioa mwanamke unaemzidi miaka 10 au zaidi ni "suicide vest"...
 
Sawa sijataja neno mwamPosa hapa,Swala lolote ukitaka upige hatua ni maandalizi na Imani ndipo unatoboa.....

Mungu ndiye anajua yote,Yaani unaweza kaa na mtu akakuigizia maisha Asilimia 100 ukasema sindo huyu ,ila ukimtuaini Mungu anakuonyesha pia hapa hapana au bado mda wako n.k .Mwanadamu usitegemee akili zako mwenyewe
Mkuu acha kusingizia Mungu na hofu zako plz, Mungu alitupa kila kitu akili na viungo vingi ili tuweze kufanya maamuzi sahihi, wewe utaenda je bar upate mke ndo uanze kumsingizia Mungu, achane kuhusisha udhaifu wenu na Mungu iko costanta kwa kila mtu na kila jambo, hata kwa wale wasio muamini
 
Wanaume wengi tunafunikwa na emotions/mihemko ya mapenzi na kukosea kuchagua, huwezi kuoa mtu mnae lingana umri na ukafikiri ndoa hiyo itakuwa na usalama labda kama lengo la ndoa yako ni tofauti na malengo ya ndoa inaojulikana.

Ukiwa na umri wa miaka 50 na mkeo iko 50 unajisikia kama umelala na mama mkwe wako kitandani, mwanamke wakifikia miaka 45 na kuendelea hubadilika kimaumbile na kifkra akili zao huhamia kwenye survival yao na watoto wanakua sexual inactive, hana jipya tena na wivu ndo unaongezeka 'women are too territorial' na age ya 45 to 60 wanaume ndio wameingia climax yao katika conjugal relations.

Madhara ya hayo yote ni dharau kugombana na ndoa kuvunjika, we mwanaume usioe mwanamke mzee kwa usalama wako wa badaye.
😆😆😆😆😆
 
In contrary ukioa mwanamke unaemzidi miaka 10 au zaidi ni "suicide vest"...
Elezea ki vip mkuu wewe uwe 60yrs mkeo awe 50yrs, kuna jambo la ajabu hapo mbona mna match sawa mkuu, kasi yenu ya maumbile unakua sawa kabisa.
 
Mkuu acha kusingizia Mungu na hofu zako plz, Mungu alitupa kila kitu akili na viungo vingi ili tuweze kufanya maamuzi sahihi, wewe utaenda je bar upate mke ndo uanze kumsingizia Mungu, achane kuhusisha udhaifu wenu na Mungu iko costanta kwa kila mtu na kila jambo, hata kwa wale wasio muamini
Ngoja niishie hapa..Maana hatujaelewana ukisoma andiko langu utanielewa vizuri ,rudia tenah kulisoma...
 
Nakuunga mkono, nimekuwa nikiwaambia Wasio oa, mwanamke sahihi ni yule unaemzidi kuanzia miaka 10 Ila watu hawanielewi.

Ukiwa na mwanamke uliemzidi 10-15 hata uchepukaji utapungua. Tatizo linakuja kwa wale wanaume wanaotaka akiwa na miaka 20 tu awe na ndoa hapo kupishana umri sahau.
 
Back
Top Bottom