Mwanaume usikosee kuoa mwanamke mnayepishana mwaka mmoja, miwili hadi mitano; hiyo ni time bomb

Mwanaume usikosee kuoa mwanamke mnayepishana mwaka mmoja, miwili hadi mitano; hiyo ni time bomb

Jamani Kwa mwanamke ni matunzo tu, anaweza kua 50 na akaonekana kama wa twenties
Mmh wewe ulishawahi kumlala mwanamke wa 50yrs ukasikia ladha yake au wewe unaongea tu unatunza sura na muonekano sio naumbile yake.....
 
Wanaume wengi tunafunikwa na emotions/mihemko ya mapenzi na kukosea kuchagua, huwezi kuoa mtu mnae lingana umri na ukafikiri ndoa hiyo itakuwa na usalama labda kama lengo la ndoa yako ni tofauti na malengo ya ndoa inaojulikana.

Ukiwa na umri wa miaka 50 na mkeo iko 50 unajisikia kama umelala na mama mkwe wako kitandani, mwanamke wakifikia miaka 45 na kuendelea hubadilika kimaumbile na kifkra akili zao huhamia kwenye survival yao na watoto wanakua sexual inactive, hana jipya tena na wivu ndo unaongezeka 'women are too territorial' na age ya 45 to 60 wanaume ndio wameingia climax yao katika conjugal relations.

Madhara ya hayo yote ni dharau kugombana na ndoa kuvunjika, we mwanaume usioe mwanamke mzee kwa usalama wako wa badaye.
Vp kuhusu mahusiano kati ya Manara na Rushayna ,kwani walilingana umri?
 
Tusijisikie burudani na raha kivipi? Kwani kuna mtu alinichagulia? Mnaoa vitoto halafu mkitangulia kufa ndugu zenu waseme mmeuawa na wake zenu? Unaoa kitoto kina miaka 17 wewe una miaka 49 unategemea nini hapo?

Badilisha mtazamo huo.
Kwa hiyo unataka wazee kama sisi, tuoe vibibi siyo! We vipi babu!! Hata sisi pia tunapenda watoto wazuri bhana! Tena wale pasua kichwa wa mwaka 2000.
 
Wanaume wengi tunafunikwa na emotions/mihemko ya mapenzi na kukosea kuchagua, huwezi kuoa mtu mnae lingana umri na ukafikiri ndoa hiyo itakuwa na usalama labda kama lengo la ndoa yako ni tofauti na malengo ya ndoa inaojulikana.

Ukiwa na umri wa miaka 50 na mkeo iko 50 unajisikia kama umelala na mama mkwe wako kitandani, mwanamke wakifikia miaka 45 na kuendelea hubadilika kimaumbile na kifkra akili zao huhamia kwenye survival yao na watoto wanakua sexual inactive, hana jipya tena na wivu ndo unaongezeka 'women are too territorial' na age ya 45 to 60 wanaume ndio wameingia climax yao katika conjugal relations.

Madhara ya hayo yote ni dharau kugombana na ndoa kuvunjika, we mwanaume usioe mwanamke mzee kwa usalama wako wa badaye.
Age is nothing but numbers tusngalie vitu vya msingi kama upendo,kuvumiliana,kuheshimiana n.k
 
Unaumwa wewe c bure.
Mkuu usiende katika extreme mke wa 17 bado ni mtoto huwezi kumuoa na mtu wa 49, lakini mke 23 kwa 33 sio mbaya hiyo age difference ni supportive, wengi wanaenda kanisani hawataki kutangulizana na wake zao kisa wake zao wamesha kua ma bibi wakati wao bado kabisa........chagua mke unoa mzidi umri kuanzia 5 hadi 10yrs kwa usalama wako wa badaye.
 
Age is nothing but numbers tusngalie vitu vya msingi kama upendo,kuvumiliana,kuheshimiana n.k
Age ni chanzo au catalyst ya kuondoa upendo na kuvumiliana ndo maana tunasema tuwe makini katika kuchagua, mwanamke mzee sio sahihi kitaka mstakubali wa ndoa yako.
 
Sawa sijataja neno mwamPosa hapa,Swala lolote ukitaka upige hatua ni maandalizi na Imani ndipo unatoboa.....

Mungu ndiye anajua yote,Yaani unaweza kaa na mtu akakuigizia maisha Asilimia 100 ukasema sindo huyu ,ila ukimtuaini Mungu anakuonyesha pia hapa hapana au bado mda wako n.k .Mwanadamu usitegemee akili zako mwenyewe
Kaka tunaigiziwa sababu hatuwajui, tunawaokota juu kwa ju. Mwanamke wa kula ni lazima ujue alikotoka, achana na biashara za kuamini, ndio maana tuna ektiwa. Mwanamke wa kula lazima umchunguze alikotokea, familia yake na maisha yake. Ndoa sio jambo la mchezo, otherwise tunabahatisha tu kumpata aliyetulia.
 
Wanaume wengi tunafunikwa na emotions/mihemko ya mapenzi na kukosea kuchagua, huwezi kuoa mtu mnae lingana umri na ukafikiri ndoa hiyo itakuwa na usalama labda kama lengo la ndoa yako ni tofauti na malengo ya ndoa inaojulikana.

Ukiwa na umri wa miaka 50 na mkeo iko 50 unajisikia kama umelala na mama mkwe wako kitandani, mwanamke wakifikia miaka 45 na kuendelea hubadilika kimaumbile na kifkra akili zao huhamia kwenye survival yao na watoto wanakua sexual inactive, hana jipya tena na wivu ndo unaongezeka 'women are too territorial' na age ya 45 to 60 wanaume ndio wameingia climax yao katika conjugal relations.

Madhara ya hayo yote ni dharau kugombana na ndoa kuvunjika, we mwanaume usioe mwanamke mzee kwa usalama wako wa badaye.
Dida alikua ana Miaka mingapi?
 
Wanaume wengi tunafunikwa na emotions/mihemko ya mapenzi na kukosea kuchagua, huwezi kuoa mtu mnae lingana umri na ukafikiri ndoa hiyo itakuwa na usalama labda kama lengo la ndoa yako ni tofauti na malengo ya ndoa inaojulikana.

Ukiwa na umri wa miaka 50 na mkeo iko 50 unajisikia kama umelala na mama mkwe wako kitandani, mwanamke wakifikia miaka 45 na kuendelea hubadilika kimaumbile na kifkra akili zao huhamia kwenye survival yao na watoto wanakua sexual inactive, hana jipya tena na wivu ndo unaongezeka 'women are too territorial' na age ya 45 to 60 wanaume ndio wameingia climax yao katika conjugal relations.

Madhara ya hayo yote ni dharau kugombana na ndoa kuvunjika, we mwanaume usioe mwanamke mzee kwa usalama wako wa badaye.
Usitupangie...
 
Back
Top Bottom