Mwanaume usiye na kazi usipende!

Mwanaume usiye na kazi usipende!

kuna "love" -upendo na "sex"-ngono

Mtoa mada unazungumzia "sex"

Unaweza kununua "sex" huwezi kununua "love"
Ukikosa pesa unaweza ukakosa sex lakini unaweza ukapata love
Love ni natural..it occurs automatic and it's unconditional
 
Mwanamke mmoja aje PM anielekeze kupika tambi.[emoji26

Out there wakuu,

Jobless mwenzangu wakiume, mbususu chakata ila usipende. Jobless wa kiume sikiliza, mwanamke ukimtamani au kumpenda kula mbususu pita hivi, usijenge kibanda, usilete hisia bro, utanyonyoka vibaya sana, sana!

Naongea na wewe jobless wakiume. Anaweza kukupenda kweli kutoka moyoni lakini Kuna vitu huwezi kumtimizia, sasa wakati wanaume wenzako watakapokuja kukusaidia majukum ukija ukigundua utapata mshtuko wa moyo, UTAKUFA.

Sikiliza jobless wa kiume, technically hakuna mwanamke jobless ila wapo tu ambao hawana kazi maalum, ukimwona hajaajiriwa au hana mishe yeyote usijidinganye kuwa ni hadhi yako, utashangwazwa nakuhakishia, ATAKUSHANGAZA.

Jobless mbususu chakata ila usipende, chonde chonde jobless mwenzangu safari ni ndefu sana, muda mchache, ndoto ni kubwa sana, mizigo ni mingi mno, hizi pisi zitakukwamisha na kukurudusha nyuma, atasepa na hako kamtaji kako jobless tuwe makini.

Jobless mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanapungua, jobless stress za mapenzi zinaua, stress za mapenzi zinafelisha, stress za mapenzi zinaleta fikra hasi, stress za mapenzi zinaweza fanya ukajutia kuwa hai, jobless huna haki ya kupendwa tafuta hela.

Sikiliza jobless, anaweza akaelewa show yako kwa bed lakini maisha yako asipoyaelewa ndiyo basi tena humpati, kwahiyo ukimkabidhi moyo umejila jobless, nasema UMEJIlA jobless.

Chakufanya tujenge base halafu tuinue empire(huo mda endelea kuchakata ila usipende), mambo yakijipa ndio upende mtoto wa mtu mpaka achanganyikiwe.

Ila kwa hali yako ya sasa jobless, anaweza kukupenda ila hawezi kubaki mikononi mwako, huwezi kumlinda atatoweka tu siku moja, watamchukua vibopa, halafu utaumia sana kwa hisia ulizowekeza. Kwahiyo jobless kaa chonjo, jobless kaa mbali.

Kiufupi majobless hatuna haki ya kupendwa.

Na log out,
Dr Criminal.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ambae hajakuelewa shauri yake na likimkuta ajambo asije na thread za kulilia hapa maana tutamfurumusha na matusi
 
kuna "love" -upendo na "sex"-ngono

Mtoa mada unazungumzia "sex"

Unaweza kununua "sex" huwezi kununua "love"
Ukikosa pesa unaweza ukakosa sex lakini unaweza ukapata love
Love ni natural..it occurs automatic and it's unconditional
Shida now Sex ndio watu wameigeuza kuwa love. Mleta UZI anaongelea kitu ambacho unaweza kukipata kwa buku 3 mpk buku 5 ya nyerere. Angeongelea tu Kupenda peke yake which na shauri wanaume wote wasifanye huu ujinga WA kumpenda mwanamke sababu hata wewe ambaye una pesa Sasa au kazi inayokupa pesa..... Siku zikiisha then nae ATASEPA
 
Shida now Sex ndio watu wameigeuza kuwa love. Mleta UZI anaongelea kitu ambacho unaweza kukipata kwa buku 3 mpk buku 5 ya nyerere. Angeongelea tu Kupenda peke yake which na shauri wanaume wote wasifanye huu ujinga WA kumpenda mwanamke sababu hata wewe ambaye una pesa Sasa au kazi inayokupa pesa..... Siku zikiisha then nae ATASEPA
Exactly,,ndio ninachozungumzia
 
kuna "love" -upendo na "sex"-ngono

Mtoa mada unazungumzia "sex"

Unaweza kununua "sex" huwezi kununua "love"
Ukikosa pesa unaweza ukakosa sex lakini unaweza ukapata love
Love ni natural..it occurs automatic and it's unconditional
Hakuna kitu kinaitwa unconditional love, hata Mungu hajaweza kutupatia unconditional love...iwe kwa hawa wanawake?
 
Hapa mzee baba umeongea jambo muhimu unakuta demu anapenda pesa huyoo njoo kwenye shoo mvivu hana hata amsha amsha nikikutanaga na wa namna hiyo huwa naonaga nimetapeliwa tu
Kuna mmoja alikuwa anakera kweli, anasema 'umalizi tu, muda wote huo'; akaitoa, nikaendelea kubaki na maumivu yangu. Mpaka leo akiomba tuonane, nampiga kalenda tu.
 
Jobless wauwawe wanachanganya sana mademu..mana shoo za jobless ni fire kama watakufa leo..wanakamia mbususu vibaya sana hadi mademu wanakosa direction anabaki katikati mana jobless shoo yuko vizuri ila hela hana.

#MaendeleoHayanaChama
Kwambaa[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom