Mwanaume wa kiislamu aliye tayari kuwa rafiki, mchumba hatimaye mume

Duuh kwanini 31-35 inamaana Sisi wenye 20s tuna shida
 
Ah kazi tena mwanawane inakuwaje...njoo nikupe bajaj na boxer mkaanze maisha. Vijana kama nyie mnaotaka kuikimbia zinaa inabidi tuwawezeshe
Haaa haaa haaa asante mkuu, ngoja nimuulize mrembo kama atakubali.
 
Ndugu zangu waislam mnakwama wapi sasa!

Aaliyyah hii imekaa vizuri, mfungo ukiisha kazi ni moja tu, vijana ma-ostaath naamini wapo wa kutosha kabisa🤣
 
Allah akujaalie upate mume mwema mchamungu ameen

Zidisha dua, Allah atakupa aliye sahihi kwako.

Mimi nilimpata mke wangu kupitia facebook! ALLAH anaunganisha nyoyo hata kama mkiwa mbalimbali baina ya mashariki na magharibi
 
Usijichanganye ukapata mwanamke ama mwanaume wa kufanya nae maisha kupitia mitandaoni majuto yake ni makubwa sana. Bora upate mwenza kupitia njia mbadala kama kwenye msiba, kwenye vyombo vya usafiri wa umma ama kwenye vilabu vya Wanzuki na Kangara ama kwenye nyumba za ibada msikitini, kanisa la RC, Sabato, anglicana na KKKT. Onyo usije oa ama olewa na wapendwa toka kwa Mwingira, Kakobe, Gwajima, Lusekelo, Kuhani Mussa, Mwamposa na majambazi wengine wanaoibia watu kupitia haya makanisa ya mabati.
 
Sio kweli
 
Hakuna mke hapo, mbaguaji ataleta shida kwa watoto kipindi wanataka kuoa/kuolewa na dini tofauti
Mkuu umelewa au, hebu rudia kusoma comnent yako na kisha uandike tena.
 
Dah umri tu umenikosesha mke
 
Mwaka mmoja umenifanya nikose mke mwema

Nina miaka 36. Upo tayari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…